Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 5,292
- 10,850
Toa sanamu hapa.
Watu wanaongea Siasa wewe unaleta dubwasha lako la mbao.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Toa sanamu hapa.
Hiyo nafasi siyo nyeti kihivyoNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Yaani ni mbulala kweli au unafikiri huku kuna wajinga kama wewe??? Huo ujinga peleka Kwa wajinga mwachawa wenzio ambao mnahangaika kila siku kumsifu malikia Ili mpate mnachotaka na hamkipati. CCM haina sifa ya kuongozwa kiongozi mwenye msimamo wa HAKI Kaa ukijua hiloNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Huyo yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.SAWA LAKINI JE UNAKILI KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO?
Wanapandisha mabega mama nae hataki mtu mwenye mabega makubwaCCM ishafitinika.
Samia hana masimamo na Chama hakijajua mwelekeo wa mwenyekiti.
Wasemaji haielewi falsafa ya mwenyekiti.
Ndani ya miaka mitatu wasemaji wanne.
sasa ndo mwisho wa ccmNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
apewe diamondGigy Money au Ambaruty mmoja wao atawafaa sana CCM
Ninawashauri achaneni na hii mada tafutaneni mubashara mjenge majukwaa muite wafuasi wenu. Hapa nawaambia hamtaelewana na wataongezeka wengine.HAPANA YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO ... NAJUA UTANIULIZA THIBITISHA
AiseeAishi Manula
Muda umefika wa kutafuta Mwenyekiti mwingine.Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Napecocastic
Kwa sababu, anajua kuzungumza, anajua propaganda na figisu za siasa, ni muadilifu na ana hekima.
MakambaJohn Mnyika,