Makonda anavyoufanya Uenezi kama Urais, Uenyekiti

Feb 18, 2019
50
533
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Hakuna watu wawivu kama viongozi wa CCM yaani hata wakiwekewa Nyani awaongoze wata mtii ila acha tuone mwisho wake.
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
HANA MAMLAKA -KIKAO GANI KILIPITISHA?
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Makonda is doing tremendous job for himself and his Party bright future
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Big noo
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Unateseka ukiwa wapi?
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Bashite kama Bashite, kichwa tope kabisa
 
Mkutano wa hadhara upo Geita, mhutubiaji mkuu ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda. Mara,Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde: "Nakupa maagizo ya chama".

Makonda anamwagiza Mavunde, akitumia mwavuli kuwa hayo anayomwagiza ni maelekezo ya chama.
Makonda anauliza: "Leo ni lini?"
Umati unaitikia: "Jumamosiiii."
Mavunde kwenye simu naye anajibu: "Jumamosi."
Kisha, Makonda anampa amri Mavunde: "Kesho naondoka Geita, tupishane na wewe ukiwa unaingia Geita."

Ni amri ya Makonda kwa Mavunde, kwenda kushughulikia mgogoro wa ardhi katika vijiji nane mkoani humo. Mavunde, alijibu kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, alishatoa maagizo ya kushughulikia mgogoro huo zaidi ya mwezi mmoja kabla na alikwenda akiahidi kurejea tena baada ya mwezi.

Mavunde akasema: "Kesho (Jumapili), nina kikao hapo Geita. Leo usiku nitakuwa Geita na kesho tutakuwa na kikao. Baada ya kikao cha kesho, tukiwa na mkuu wa mkoa, tutatoa mrejesho kwa wananchi."

Mambo mawili; mosi ni jinsi ambavyo Mavunde alitoa majibu yake. Yupo mtu, nje ya wananchi waliokuwa wakishangilia kwa bidii, yeye aliamini kuwa Makonda alikuwa na ufahamu kuhusu ziara ya Mavunde, kwa hiyo aliamua kufanya siasa. Wananchi wanapiga mayowe kwa matumaini, kumbe mwenzao yupo jukwaani kujenga haiba kupitia wao. Mavunde alipoingia Geita, kuna wananchi walitafsiri au wataendelea kutafsiri ziara yake ni agizo la Makonda.

Pili ni swali; tangu lini Katibu Mwenezi CCM, akawa na mamlaka ya kumwagiza waziri tena kwenye mkutano wa hadhara? Katiba ya CCM, haitoi mamlaka hayo hata kwa Katibu Mkuu ambaye ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti. Sasa, ikiwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, hana mamlaka ambayo Makonda amejivalisha, wapo watu wanawaza pengine Rais Samia, ambaye ndiye Mwenyekiti CCM, ameamua kubadili mtindo wa kushughulika na wasaidizi wake, kwa hiyo anazungumza kupitia kinywa cha Makonda.

Mzee fulani, yeye kwa busara na kwa ufahamu wake jinsi nchi inavyoendeshwa, haamini kuwa Rais Samia anaweza kujishusha na kufanya siasa za bei chee, kumtumia Makonda kuzungumza au kuwashughulikia wasaidizi wake. Kupitia imani hiyo, Mzee huyo mtazamo wake umejikita katika dhana kwamba matamshi, maagizo na amri za Makonda jukwaani, hujituma mwenyewe.

Ukichagua "kununua" mtazamo wa Mzee huyo, utajikuta ndani ya hekima za makatibu wakuu wawili wa zamani wa CCM. Katibu Mkuu CCM mwaka 2012 - 2018, Kanali Mstaafu, Abdulrahman Kinana, hivi sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM, Tanzania Bara. Katibu Mkuu CCM mwaka 2018- 2021, Dk. Bashiru Ally, kwa sasa ni mbunge wa kuteuliwa.

Oktoba 30, 2023, Arusha, Kinana akiongoza ujumbe wa CCM, katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Zelothe Stephen, alisema kuwa uongozi ni tabia. Ujumbe wake ulijikita katika kumsifu Zelothe kwamba alikuwa mwenye tabia njema, hivyo alikuwa kiongozi mzuri.

Ukiuelewa ujumbe wa Kinana barabara, utapata majibu kuwa mtu kama una shida za hulka, hata usome namna gani, upewe mafunzo yapi, abadan, hutakuwa kiongozi mzuri.

Mtu yeyote mwenye tamaa ya kukwea nafasi za uongozi na kupata mafanikio, sharti kwanza ajinoe katika hulka. Tabia iwe njema. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliiwezesha Tanganyika kupata uhuru akiwa na umri wa miaka 39. Alifanikisha kuifanya Tanganyika kuwa Jamhuri, kisha yeye kuwa Rais wa kwanza, alipokuwa na umri wa miaka 40.

Pengine yakawa makosa kumtathmini Makonda kwa kipimo cha Mwalimu Nyerere kwa sababu Baba wa Taifa ni binadamu maalumu Afrika, ila hata kwa viongozi wa zama za sasa, Mavunde ni waziri leo. Ni mbunge muhula wa pili. Ameshawahi kuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti.

Nafasi hizo, alizishika akiwa na umri kuanzia chini ya miaka 35. Pamoja na hivyo, hujamsikia popote akivuka mipaka yake. Kiongozi mzuri utamtambua jinsi anavyoweza kutekeleza majukumu yake ndani ya mipaka ya uongozi wake.

Mathalan, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ni msaidizi wa Katibu Mkuu CCM. Wajibu wa Katibu Mwenezi CCM ni kukisemea na kukitetea chama, kulingana na maagizo ya Sekretarieti, ambayo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu. Makonda anaposimama na kumpa maagizo Waziri Mkuu, inaleta mkanganyiko. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa nafasi yake, moja kwa moja anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu CCM.

Kwa vile CCM ndio chama kinachoongoza dola, Kamati Kuu CCM ina hadhi sawa na Politburo, chombo ambacho nyakati za Soviet, ndicho kilichokuwa kinafanya uamuzi wa juu kuhusu sera na uelekeo wa nchi. Hivyo, Kamati Kuu CCM ni chombo nyeti, si tu kwa CCM, bali kwa nchi pia.

Waziri Mkuu anahudhuria vikao vyote muhimu vya chama, kasoro vile vya kamati tendaji (Sekretarieti). Ni maagizo yapi hayo asipewe na Rais, yasimfikie akiwa Kamati Kuu au hata mikutano ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC), aje apewe kwenye mikutano ya hadhara na Makonda?

Makonda na mamlaka ya Samia

Nyakati za mwanzo baada ya kula kiapo, Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango, alikuwa akijisahau kwa kutoa maagizo yenye hadhi ya urais, wakati Rais Samia mwenyewe alikuwepo. Siku hizi, Mpango amebadilika.

Mfano mmojawapo, Mpango aliwahi kumwagiza Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba: "Nataka makusanyo ya mwezi yafike Sh2 trilioni." Pengine sababu ni kuwa Mpango alipanda kuwa Makamu wa Rais kutoka Waziri wa Fedha. Hata hivyo, mtoa maagizo ni Rais Samia.

Mathalan, Dk Mpango alipotoa maagizo ya kutaka makusanyo kwa mwezi yafikie Sh2 trilioni, kisha Samia alipoisogelea mimbari, angesema matakwa yake ni Sh2.5 trilioni mpaka Sh3 trilioni. Si ingeonekana kuna mgongano baina ya viongozi wa juu wa nchi?

Waziri Mkuu, kikatiba anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu na Rais. Waziri Mkuu ni mshauri wa Rais. Waziri Mkuu ndiye mtekelezaji mkuu wa maagizo ya Rais. Juu ya yote, Waziri Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ambayo mkuu wake ni Rais.

Imefafanuliwa hivyo kikatiba, Ibara ya 52 na ibara zake ndogo, 1, 2 na 3. Bunge limepewa mamlaka dhidi ya Waziri Mkuu lakini kwa mzunguko mrefu. Rais ndiye mwenye mamlaka ya moja kwa moja. Inakuwaje Makonda anampa maagizo. Bila shaka, kwa nafasi yake ya kukisemea chama, ameamua kuupa ukatibu mwenezi wake, nakshi za urais na uenyekiti wa CCM.

Uthubutu huo wa Makonda ni hulka yake. Alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuna wakati alitoa maagizo yenye kuvuka mipaka. Aliwakaripia waliomzidi cheo kuwa yeye aliwapita mbali sana. Alisema: "Wale ambao mnajiona mna cheo kikubwa kuliko mimi, nimewazidi sana."

Rejea mgogoro wake alipokuwa Mkuu wa Dar es Salaam dhidi ya Mpango, akiwa Waziri wa Fedha. Pitia kauli ya Rais wa awamu ya tano Dk John Magufuli kuwa Makonda alifanya maonyesho kuliko kazi. Tazama na anachokifanya sasa.

Novemba Mosi, 2023, Nyerere Square, Dodoma, Makonda anasikiliza kero za wananchi, halafu anamwita Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule jukwaani, anamwambia "kimbia hapa". Kisha anampa maagizo.

Mama Senyamule anatoa majibu kuwa kero husika
imeshafika kwa Makamu wa Rais, ila yeye anatoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, wapigiane simu ili majibu yapatikane.

Kisha, Makonda mwenyewe anampigia simu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata. Anamhoji na kumpa maagizo.

Uongozi ni tabia, alisema Kinana. Kihulka, Makonda
anaonekana hajui mipaka yake. Anashindwa kutofautisha nafasi yake ya ukatibu mwenezi na urais wa Magufuli.

Rais Magufuli sio tu alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vilevile alikuwa Mwenyekiti wa CCM. Mwenye madaraka hayo kwa sasa ni Rais Samia. Ndiye anayeweza kumwagiza yeyote ndani ya Serikali na chama.
Credit: Mwananchi
Makonda endeleza spana mpaka wanyooke.
 
Makonda kwa kazi anayofanya ni mbumbumbu tu kama akina Lucas Mwashambwa ndio wanamshabikia ndani ya CCM!
Huyu Makonda anakivuruga Chama kwani anafanya kazi nje ya mipaka yake ( Utra vires).
Makonda anadhani yeye ni Magufuli aliyefufuka!.
Makonda hajui hata kama CCM Ina viongozi juu yake!
Yeye anamjua Rais Samia tu!
Sasa Makonda kama Kiongozi asiyejua hata organization structure ,tukisema Huyu ni mbumbumbu na Kilaza wa kutupwa tunakosea wapi?
 
Back
Top Bottom