Mzee wa Kaya
Member
- Feb 9, 2009
- 8
- 0
"Jana mwenyekiti wa CHADEMA bwana Freeman Mbowe alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Wasso huko Ngorongoro alimtaka raisi Jakaya Mrisho Kikwete ajiuzulu na kuondoka Ikulu mara moja. Kisa kushindwa kuwalipa wafanyakazi kiwango cha chini cha sh.315,000!"
Mambo hayo, kweli mh. Mbowe alitegemea maneno yake hayo yamfanye JK ajiuzulu? Kwanini hakuelekeza nguvu zake zote katika kuwashawishi wananchi wasimchague JK kipindi kijacho kwa sababu ya hayo madudu yake anayoyafanya. Tatizo hapa ni elimu yakutosha kwa wananchi wengi iwezekanavyo ili waweze kutambua pumba na kuiondoa kwenye mchele. Mh. Mbowe alisema anavyotaka yeye lakini hiyo haitusaidii sana kuleta mabadiriko tunayo yategemea. Wakati
huu sio wakupoteza kwa kufanya/kusema yasiyowezekana.
Mambo hayo, kweli mh. Mbowe alitegemea maneno yake hayo yamfanye JK ajiuzulu? Kwanini hakuelekeza nguvu zake zote katika kuwashawishi wananchi wasimchague JK kipindi kijacho kwa sababu ya hayo madudu yake anayoyafanya. Tatizo hapa ni elimu yakutosha kwa wananchi wengi iwezekanavyo ili waweze kutambua pumba na kuiondoa kwenye mchele. Mh. Mbowe alisema anavyotaka yeye lakini hiyo haitusaidii sana kuleta mabadiriko tunayo yategemea. Wakati
huu sio wakupoteza kwa kufanya/kusema yasiyowezekana.