Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,219
- 2,825
Wengi wanatamani kuwa na mpango wa uzazi lakini kinachowachosha na kuwatatiza ni njia gani hasa watumie katika kupanga huo uzazi
Usipate tabu tena, chukua (mbegu ya) mbarika yaani nyonyo kisha ondoa ganda lake lile gumu ibaki ile punje ya ndani. Meza punje moja kila mwezi!
Imeisha hiyo
Usipate tabu tena, chukua (mbegu ya) mbarika yaani nyonyo kisha ondoa ganda lake lile gumu ibaki ile punje ya ndani. Meza punje moja kila mwezi!
Imeisha hiyo