Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

wamemzalilisha sana baba SASHA.
hakuna matata ule wimbo wa mh SUGU huwaga napenda sana kuusikiliza.kadai kuwa yy ni mtata naona aliyo yaimba mle ameamua kuyaonyesha
 
Kamanda mby mapokezi ya sugu yatakuwa hatariii karibu nyumbani kamandaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Poleni sana Makamanda kwa usumbufu.Mungu atawalipa kwa madhila mnayofanyiwa dhidi ya kutetea wanyonge.
Tuko pamoja!
 
Maumivu myapatayo Makamanda kuna siku mtafurahia matunda yake,Mungu aendelee kuwasimamia na kuibariki CDM iendelee kukubariki na wa Tanzaniaa wote
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.
Mkuu Nasari, asante kwa info.
Kwa mawazo yangu,
  1. Hatua hii ndio ingekuwa ya kwanza mara tuu baada ya kutolewa bungeni kwa nguvu na Sugu kupigwa!.
  2. Kesho yake au jioni ile Uongozi wa Chadema ilipaswa ama kuitisha "Press Conference" ama kutoa "Press Release!" kuwaeleza Watanzania kilichotokea!.
  3. Taarifa kama hii ya nini kinachoendelea, licha ya kutolewa humu social media as informal, ilipaswa kutolewa na the right channels formally!.
  4. Chadema bado inalo tatizo la "rapid response!" na timely "damage controll" in times of crisis!.
  5. Kilicho tokea, sote tumekishuhudia, Watanzania wamekishuhudia na Mungu amekishuhudia, mwisho wa yote malipo ni hapa hapa duniani!.
Pasco.
 
Polic wamelinajisi Bunge,hakuna kanuni iliyotenguliwa kuwaruhusu kuingia Bungeni.
 
Mkuu huo ndio upeo wa uongozi wa CDM.
Profesa Baregu juzi juzi kawapakia lakini hawamwelewi maana tatizo ni upeo wao wa form four.

Heri form four anayejitambua kuliko ma profesa misukule iliyojazana huko ccm haina tija kwa taifa wala chama chenu.

Hebu ona wewe mwenyewe unayejiita msomi wa ccm unavyohangaika na kamanda Sugu hapa JF kila siku kwa ujira wa buku 7! Mburulaz tu ndio mmejazana huko ccm...
 
Shujaa kwa kumtetea mbowe? ninabaki na maswali mengi inakuwaje mtoto wa kiume uko radhi uumie na kudhalilika kisa mbowe asichukuliwe hatua.
Ndio sifa ya mtoto wa kiume ila wewe wakike upo tayari kumsaliti rafiki yako kwa kutembea na mme wake.,ndio sifa yako mama chauruma...
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni

You must foolish, or else you're stupid.
 
Mkuu komaa nao hao vilaza kama Sugu.
Asiyefunzwa na mma yake ndo tunaona hadharani kama ya Sugu, kuadhiriwa dunia nzima inaona.
Halafu wenye akili fupi wanamfananisha form four failure na Mandela!!
What stupidity!
Hivi Dr.Kigwangala na udr.wake anatofauti gani na barmaid.,toka unasoma mpaka umemaliza unamchango gani kwenye hii dunia ukumbukwe kama msomi zaid ya kujaza choo cha mwenye nyumba..
 
ndio mwisho wa akili za makada wa cdm, halafu mnatanga kuongoza taifa mliambiwa tanzania ni uwanja wa fisi mpaka tutake viongozi walio na midomo michafu kama huyo sugu.

kiongozi wa mdomo mchafu ni ndugai asiye na akili ya kuongoza bunge bali kumega vitoto vya kigogo
 
Akiahirisha bunge jioni hii Ndugai ameonesha kuwa kwa kitendo alichofanya Sugu hakina kinga na kqa sababu hiyo sheria itachukua mkondo wake. Alishangiliwa sana na wapambe wake. Mary Nagu amemsifia sana kwakuendesha bunge kishujaa na kwa ufanisi mkubwa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Mary Nagu Akimuona Rose Kamiki chupi inambana...bora amalize Siasa zake taratibu amfuate Yule Serengeti boy anaye n kabang London....Siasa Za beyond 2015 zinataka werevu CCM au upinzani ...
 
Chadema ni chama kizuri ila inabidi kibadili tactics. Haya mambo ya fuso yanasababisha hasara in many ways isitoshe ni wastage of time. Badala ya kuwa bize kuleta mabadiliko ya nchi, matokeo yake ni kuwa bize kupambana na mapolisi kila kukicha.
 
Chadema ni chama kizuri ila inabidi kibadili tactics. Haya mambo ya fujo yanasababisha hasara in many ways isitoshe ni wastage of time. Badala ya kuwa bize kuleta mabadiliko ya nchi, matokeo yake ni kuwa bize kupambana na mapolisi kila kukicha.
 
Back
Top Bottom