Any update?
Mimi ni kamanda wa chadema, naunga mkono wazo lako 100%.Chadema ni chama kizuri ila inabidi kibadili tactics. Haya mambo ya fujo yanasababisha hasara in many ways isitoshe ni wastage of time. Badala ya kuwa bize kuleta mabadiliko ya nchi, matokeo yake ni kuwa bize kupambana na mapolisi kila kukicha.
Sasa hivi dawa ni kuwapiga hawa policcm.ilitakiwa amtoe meno...askari amechaguliwa na nani? mbwa wa ndungai hawa ni wa kuuwa kabisa.....
Vyombo vingi vya habar
hususan magazeti yamekuwa yakiendelea kumchafua sugu hata kwa kumtoa
front page na kuandika kwa herufi kubwa AIBU kwa ktendo cha alichofanya
majuzi ...huku wakisahau kuwa NDUGAI ni chanzo cha vurugu
bungeni.
Sugu alishachafuka kuchafuliwa. iweje kati ya wabunge wote wa upinzani ni sugu tu ndiye aandikwe? mbona hajachafuliwa mbowe ambaye ndiye kiini cha yote yaliyotokea?
Ni saaTano na Dakika Tatu sasa za asubuhi ya siku ya pili, hujatupa mrejesho, kamanda!
Sugu anajichafua mwenyewe.Vyombo vingi vya habar hususan magazeti yamekuwa yakiendelea kumchafua sugu hata kwa kumtoa front page na kuandika kwa herufi kubwa AIBU kwa ktendo cha alichofanya majuzi ...huku wakisahau kuwa NDUGAI ni chanzo cha vurugu bungeni.
Khaa!! kumbe tunaongelea vitu tofauti. Wewe unakomaa na amri ya Naibu spika wakati mimi naongelea vitendo vya aibu na vya kitoto alivyovifanya Sugu. Bila kujali Chanzo chake nasema wazi Sugu kafanya kitendo cha kipumbavu kwani hakikupaswa kifanye na mtu mwenye hadhi ya uheshimiwa. Hivi kama mtu kakuonyesha dole la kati halafu wewe ukatoka na mihasira yako ukaanza kumpa kibano cha ghafla mbele za watu. Sasa hapo topic kuu itakuwa nini?? Nani ataonekana punguani?? jaribu kuwa free wakati wakufikiri :bored:Shame on you RohoMbaya
sio kila amri ni halali
hata amri za kikandamizi ni halali?
unaona amri aliotoa naibu spika kwako ni amri halali?
Bunge lala sasa sio la chama kimoja la kuitikia kila kitu ndio ndioooooo
hapana kaka hili ni bunge la vyama vingi
inabidi baadhi ya sheria za kijinga zitenguliwe
Naibu spika mwenyewe anajua kachemka sana na kwa kuficha aibu akasema amewasamehe ili asijekupelekwa kamati ya maadili.
saa nawewe kama akili yako ndio imeishia hapo kufikiri SHAME ON YOU
Sugu anajichafua mwenyewe.