Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari
Non sense, your great liar. howcomes upigane na wapiga debe na majambazi wakupore wewe tu? Bungeni kila mtu anasehemu yake ya kukaa sasa kama kila mtu atakaa kwake hakuna namna ya kupigana. hata wewe ni myonge tu ndio maana unataka kuporwa au wapiga debe wanakugombania wewe tu! Hakuna self defence ya namna ile, bora brain ikose frequency kuliko kuwa mtumwa kama wewe unayelazimika kusifia hata ujinga ili kuwafurahisha mabwana zako. Waambie ukweli hata kama ni mchungu wataendelea kukupenda tu!
Sasa hapa unaonyesha tofauti gani na wale waliokuwa wanadumisha fikra za mwenyekiti? na utajitoa vipi kama na wewe sio mnafiki wakati dalili zote za unafiki unazo.
pepoz power
je la kwako dogo nini hasa
Kila la kheri Dogo,tunasikitishwa na udikteta wa naibu spika
ili kupata ukombozi kamili lazima upite kwenye majaribu mengi kama ilivyokuwa kwa Nelson Mandela wa Afrika ya kusiniBaada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.
Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.
Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.
Tutawajulisha kitakachojiri
Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.