Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari

Mbona mjinga ni aliye kuzaa! Si alidanganywa na babio akakubali na hatimaye akakuzaa!!!
 
Mimi nawashangaa sana na hizi account zenu za 2013 ambazo zina reply topic za chadema tu. Hivi kama kweli unaakili timamu na hujaruka hata darasa moja wala hujawahi kuugua kichaa, kati ya askari waliokuwa wakipigana na askari na wabunge waliokuwa wakishangilia vurugu nani aliekuwa akishabikia fujo na aibu zilizotokea bungeni kama unavyodai. kama huna jubu basi mpuuzi namba moja na ambae hana la kufanya ni wewe na ukoo wako wote unaoshindwa kukufunza hekima na adabu ya kifikra

Duh umejiongelea we mwenyew mpaka ukamaliza,walidai kura zihesabiwe wakazidiwa sasa alichokuwa anataka kukisema n. Kip wakat uchangiaji ulitakiwa kufanya na alitakiwa aongee Mzee Mrema?bongo lala ya mwenyekiti wako aliemuaibisha Sugu ndo umewafikisha hapo mlipoa,na msahau kuona ikulu 2015,,,,,waTz sio wapuuuz kias hko kama ww ulivo
 
Polisi wanajisikia raha sana wanapowaona makamanda wa chadema wapo kituoni, hawataki kuwaachia waondoke..... Policcm na akili za mbayuwayu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hakuna kufanya kazi ya kanisa hapa eti upigwe tuu na wewe ukae kimya nasema hivi wakiwapiga na nyie wapigeni kwan si vipigio mnavyo??? Hapa walahi hakuna cha ukipigwa kulia geuza na kushoto
 
Tunakushukuru tumekusikia kwa kutuita wapuuzi sisi wananchi tuliowachagua Wabunge wetu watuwakilishe Bungeni,una lingine la kuchangia zaidi ya kutukana?

Sasa naww unathibitisha upuuzi ulionao tena wauliza swal akat waona kabsa jins hao wala pesa za taifa paspo kuztolea jasho bure bure,ndo mlichowatuma kuwawakilisha hko?mie npo mbeya kmeniuma sana na kwahko alchokifanya huyu jamaaa naanzisha maandamano ya jimbo zima kulaaani utoto huu na bangi hiz,jiji lakn halina mwendelezo kwann?
 
Huo ni mtazamo wako.....hauendani uhalisia.Kama uliangalia bunge unaweza ukajua nani alivuta bangi.

Ndagha kabisa tena afikirie kama kweli jamaa sio vichaa wazima walichokuwa wakishangilia wakati vurugu zinaendelea ni kitu gani? kitendo cha kushangilia kili kua na maana au sababu gani, maana yake vitendo visivyokuwa na maana wala sababu vinafanywaga na vichaa walevi na mateja. wenzao walikua wanapigana na askari walikua na maana na sababu
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.
Mnapenda kujipeleka polisi ijumaa
 
Vipi wabunge wa CUF nao wameenda kutoa ushahidi polisi au ndoa ilikuwa ya mkataba?
 
Duh umejiongelea we mwenyew mpaka ukamaliza,walidai kura zihesabiwe wakazidiwa sasa alichokuwa anataka kukisema n. Kip wakat uchangiaji ulitakiwa kufanya na alitakiwa aongee Mzee Mrema?bongo lala ya mwenyekiti wako aliemuaibisha Sugu ndo umewafikisha hapo mlipoa,na msahau kuona ikulu 2015,,,,,waTz sio wapuuuz kias hko kama ww ulivo

Na huu ndio usenge mnaoleta mpaka bungeni huwa hamtaki kujibu hoja. Jibu swali m@t@ko y@ko

"Mimi nawashangaa sana na hizi account zenu za 2013 ambazo zina reply topic za chadema tu. Hivi kama kweli unaakili timamu na hujaruka hata darasa moja wala hujawahi kuugua kichaa, kati ya wabunge wa upinzani waliokuwa wakipigana na askari na wabunge waliokuwa wakishangilia vurugu nani aliekuwa akishabikia fujo na aibu zilizotokea bungeni kama unavyodai?. kama huna jubu basi mpuuzi namba moja na ambae hana la kufanya ni wewe na ukoo wako wote unaoshindwa kukufunza hekima na adabu ya kifikra"

Usipojibu wewe ni kichaa kama ndungai wala usihangaike kureply sitakujibu
 
Huo ni mtazamo wako.....hauendani na uhalisia.Kama uliangalia bunge unaweza ukajua nani alivuta bangi.
Ni vzr ktk sentensi yako ya mwisho unaonesha kukubali kuwa kuna wavuta bangi ndani ya bunge. sitaki kuwataja lkn kwa kuwa matendo ya wavuta bangi yanajulikana basi kila mwenye kuyajua ataweza kuwatambua.
 
Siku mkibahatika kumkaribia Ndu Gay katika tafrani kama hizi basi hakikisheni SEBULE yake haina tena Viti...
 
Back
Top Bottom