Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

hao wabunge wa upinzani idadi yao ukipiga hesabu wanawakilisha mamilioni ya watu kati 4500000 na maslahi ya taifa pia
 
maslahi ya wanao wakilisha upinzani ni muhimu kuingizwa katika muswada wa katiba na haki yao ya msingi kwa wapiga kura
 
Bunge ni kama familia unatakia kusikiliza mawazo ya wote wanafamilia sio kwa sababu mtoto mkubwa kasema hivi basi final
 
hao wabunge wa upinzani idadi yao ukipiga hesabu wanawakilisha mamilioni ya watu kati 4500000 na maslahi ya taifa pia
 
Sugu shujaa wetu wapenda mageuzi, pambana mpaka kieleweke!
Kule sasa ni kupambana au ni kutaka kuleta fujo anyways i always though huwezo wa sugu unaishia kwenye majukwaa ya washabiki wa anakonda lakini si siasa.
 
Vp mumeo Nape hajambo nasikia umemuacha uko kwa Mwingulu.
Ndio mwisho wa akili za makada wa CDM, halafu mnatanga kuongoza taifa mliambiwa tanzania ni uwanja wa fisi mpaka tutake viongozi walio na midomo michafu kama huyo sugu.
 
Sugu shujaa wetu wapenda mageuzi, pambana mpaka kieleweke!
Shujaa kwa kumtetea mbowe? ninabaki na maswali mengi inakuwaje mtoto wa kiume uko radhi uumie na kudhalilika kisa mbowe asichukuliwe hatua.
 
Cku zote maji ukiyazuia yanajitengenezea njia yenyewe!Hawa nyinyiem hawanabudi ku2achia nchi wameshindwa!Endelea ku2juza
 
Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari

Na askari kumkwida na kumpiga mbunge bungeni tuiteje? Uhuni mdogo? Ni vigumu sana kwa walevi wa madaraka (kwama wewe) kug'amua madhila wanayowafanyia wananchi na watetezi wao. Walevi wa madaraka hustuka tu pale wananchi watakapokata shauri na kusema sasa basi. Kwa sasa mwendo mdundo wanyonge wapigwe tu!
 
Rejea Post ya Nasari utaelewa tu, wafuasi wa namna yako ndio ambao mfalme akikaa vibaya hawathubutu kumwambia, kitendo cha jana Bungeni sio cha kiungwana na wala sio katika mambo ya kujivunia. Na hekima ikitoka kwa wapinzani ndio itapendeza zaidi, hawa jamaa kuchaguliwa kwao na wanavyotunzwa kwa pesa za walipa kodi hawakupaswa kufanya haya wanayoyafanya. Sasa mtafutwe na polisi kwa soo za maana hizi za kupigana na utuuzima wenu sio sawa. Nicholas and etal ujue tupo watu wa tofauti na mawazo yenu na wala hatutazami kunyanzi la mtu. Sasa mliyoyaleta bungeni unataka kuleta na humu ukijibiwa utatafutia watu ban hips unafuga wewe unalolijua na unafurahia wabunge wanavyomenuliwa bungeni kwani ndio kazi iliyowapeleka.
Madiba hakukaa jela kwa issue hizi bana.

Mkuu komaa nao hao vilaza kama Sugu.
Asiyefunzwa na mma yake ndo tunaona hadharani kama ya Sugu, kuadhiriwa dunia nzima inaona.
Halafu wenye akili fupi wanamfananisha form four failure na Mandela!!
What stupidity!
 
Bado unaleta hoja nyingi zisizohusiana na mada, sina haja ya kuwa mjuaji wakati unaongea makorokocho go to the point, sio unatajataja watu. CCM kama wanalipa au hawalipi kodi watajisemea wenyewe simama katika mada. Acha wenye akili nyingi ndio wanaopigana ktk public? hata kama mabwana zako waambie wamekosea wajirekebishe ili wafanye vizuri zaidi baadae.

Acha utoto wewe...gia ya kushikilia wengine hawakuelewi ili uonekane kuwa mjuaji ni ya wanasiasa fulanifulani....ktk niliowataja hapo juu...Udogo wakili yako ndio unakupa shida kuswitch rapidly with multiple parameters bila kupotea..Umewahi jiuliza kwanini hueleweki?haiwekani kuretionalize irrational halafu ukabaki na irrationality.Unaandika ujinga sana kwa mwenye akili timamu kuulewa na si lingine.

CCM nanyi mnalipa Kodi?Km una uchungu na hiyo kodi nani anatumia vibaya kodi yako hapa?unafanana na Faiza Foxy naye alikuja kulalamika humu kuwa kuna mui ran kapewa tenda ya maji Gairo hadi sasa hakuna kitu, akalalama zaidi kuwa kapea jina zuri la nchi hii kwa kampuni yake ikaitwa serengeti...hakuwa anajau ni CCM ndio wa kulaumu na si CDM km yeye na viongozi wa CCM anavyoililia CDM..scene hiyo ni akili zenu za hawavumi ndio zinawaponza..Mandhani kujisubua na CDM basi mtatoka.

akili za magamba:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ni-hawavumi-hadi-top-wao-anafikiri-hivyo.html
 
Mungu mbariki Mh. Sugu Mungu ibariki CDM Mungu ibariki tanzania. Ningekuwa Mungu nigemwekea Sugu helment ili akipiga kichwa hao polccm wapasukepasuke. Maandiko yanasema "msiogope enyi kundi dogo, maana mkusanyikapo kwa jina langu nami nipo kati yenu" Tupambane Mungu ni mwaminifu atatupigania. Poamoja daima makamanda.
 
Sugu na Mbowe tatizo lao kubwa ni elimu.
 
Mkuu huo ndio upeo wa uongozi wa CDM.
Profesa Baregu juzi juzi kawapakia lakini hawamwelewi maana tatizo ni upeo wao wa form four.

Chai umekunywa lakin??
Au ndo unagangia Buku 7 ya leo??
 
Back
Top Bottom