Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo. Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe. Kwa hatua ya sasa Sugu anaandija maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu. Tutawajulisha kitakachojiri
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:
 
Cheap tanzania politicians in jf. hamna cha maana mnachowafanyia watz zaidi ya mipasho kama hii. wenzenu wanadiscuss serious issues nyie mnaleta siasa za katika mitandao ya kijamii za kina MBWA KACHOKA,JINAMIZI,BLACKY
Updates ni muhimu sana mkuu....MUNGU AWABARIKI.
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni
 
safi sana dogo janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. Mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje kub halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. Shame on you sugu!:bored:

kweli wewe rohombaya
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni

WEWE ACHA USHABIKI WA KIJINGA HUELEWI KINACHOENDELEA NDezi wewe
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni


[UNASEMAAA, SIKUSIKII VIZURI UNAKATIKAKATIKA.]
 
Mwambie Mhe Sugu asiwe na wasiwasi Mapokezi ambayo watu wa Mbeya wanaandaa zitakuwa salamu tosha kwa Ndugai & co
Khaa!! ndiyo demokrasia. hasa kukiwa na kundi kubwa la wajinga wasioona mbali. huweza kufanya maamuzi ya kijinga kama hayo :bored:
 
Huyo sugu ni wa kushughulikiwa na mabaunsa ajiheshimu, mana anaujanja wa kishamba
 
Na ni uhuni mkubwa kutumia cheo ( dhamana uliyopewa) vibaya

km uhuni anaoufanya mbowe wa kutumia vibaya nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni kuongoza uhuni, vurugu, kupiga askari na kutukana badala ya kujenga hoja
 
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,
Hivi Mh Nasari, hata kama Mh Sugu angemvunja huyo policcm meno yote ya mbele, si kwamba Mh Sugu alikuwa kwenye eneo la kinga ya kibunge? Naomba muongozo

Akiahirisha bunge jioni hii Ndugai ameonesha kuwa kwa kitendo alichofanya Sugu hakina kinga na kqa sababu hiyo sheria itachukua mkondo wake. Alishangiliwa sana na wapambe wake. Mary Nagu amemsifia sana kwakuendesha bunge kishujaa na kwa ufanisi mkubwa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Pamoja kamanda mwambie kamanda SUGU watu wa mbeya tupo pamoja naye kwa kila hatua MOLA AWAONGOZE DAIMA
 
Naamini yote hayo mnayafanya kwa manufaa ya watanzania wote hivyo tupo nyuma yenu makamanda, its people's time now!
 
mimi binafsi UHUNI wa CHADEMA umenichosha
 
Back
Top Bottom