Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Heri form four anayejitambua kuliko ma profesa misukule iliyojazana huko ccm haina tija kwa taifa wala chama chenu.

Hebu ona wewe mwenyewe unayejiita msomi wa ccm unavyohangaika na kamanda Sugu hapa JF kila siku kwa ujira wa buku 7! Mburulaz tu ndio mmejazana huko ccm...
Babu ndio anafuga misukule inaitwa bavicha
 
Heri form four anayejitambua kuliko ma profesa misukule iliyojazana huko ccm haina tija kwa taifa wala chama chenu.

Hebu ona wewe mwenyewe unayejiita msomi wa ccm unavyohangaika na kamanda Sugu hapa JF kila siku kwa ujira wa buku 7! Mburulaz tu ndio mmejazana huko ccm...

Tazama, hata kusoma hujui. Naona wewe ni walewale wa F4-Mahudhurio.
Profesa Baregu aliyewapasha naye ni CCM?
Tafuteni kazi za ukorokoroni mnazozijua, na mtafutie kazi hiyo Sugu F4 mwenzio ambaye nishai zinamtuma kupigana na askari bungeni.
Kashamba kako ka bangi kule Tarime katunze vizuri, mazao yake yatahitajika kwenye kikao chenu cha Kamati Kuu ya CDM.
 
Hivi Dr.Kigwangala na udr.wake anatofauti gani na barmaid.,toka unasoma mpaka umemaliza unamchango gani kwenye hii dunia ukumbukwe kama msomi zaid ya kujaza choo cha mwenye nyumba..
Hatuwezi kubishana na wewe mwenye upeo wa kufikiri si zaidi ya matukio ya kujaza vyoo vya wenye nyumba.
 
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu,
Hivi Mh Nasari, hata kama Mh Sugu angemvunja huyo policcm meno yote ya mbele, si kwamba Mh Sugu alikuwa kwenye eneo la kinga ya kibunge? Naomba muongozo

Ahaaaaa, ni kweli mkuu. Pale anaruhusiwa hata kumkobeka dole la makalio...tehe tehe tehe!
 
Hivi Dr.Kigwangala na udr.wake anatofauti gani na barmaid.,toka unasoma mpaka umemaliza unamchango gani kwenye hii dunia ukumbukwe kama msomi zaid ya kujaza choo cha mwenye nyumba..

hapo alianza kwa kumuomba mungu amtangulie atoe mchango wenye manufaa kwa taifa na akaishia kutoa maneno ya dhihaka
 
Bado unaleta hoja nyingi zisizohusiana na mada, sina haja ya kuwa mjuaji wakati unaongea makorokocho go to the point, sio unatajataja watu. CCM kama wanalipa au hawalipi kodi watajisemea wenyewe simama katika mada. Acha wenye akili nyingi ndio wanaopigana ktk public? hata kama mabwana zako waambie wamekosea wajirekebishe ili wafanye vizuri zaidi baadae.

hah...kweli una mkorogo hadi wa akili...nini hakihusiani na mada?Ni akili yako tuu haiwezi switch ktk topic tofauti ili kuangalia kwa mapana hoja iliyopo mezani.Wewe si ndio ume introduce kodi km gamba..nikakuliza magamba mnalipa kodi?kwani mjini watu wengi ili wasilipe kodi huwa karibu sana na CCM TRA hawawafuati.ILa ukiipinga CCM kesho yake TRA mlangoni.

Sijui brain yako ina frequency gani?au pengine haina hata frequency ambazo inaweza sync nazo.kupingana si mara zote ni lengo la mtu,ila mazingira yanapelekea.Mara nyingi tuu nimepigana na wapiga debe wanagombania mizigo yangu hata ikiwa na senstive information, mara kibao ni pigana na watu wanasi bully wanangu njiani, hata majambazi pia nimepigana nao hadharani walipokuwa wakitaka nipora...sasa kama kupigana hadharai ni uovu km akili yako inavyotaka kuaminisha ..you godamn wrong.....kupigana mara nyingine kunaletwa na kufanywa km mutually exclusive na adui...adui anavyoweka kuwa survirval yako ni kujitetea kwa nguvu...ndie mwenye problem....We ulidhani nani alikuwa na ahaki kukumbi w abunge kuliko mwingine?Askari au mbunge?Je askari alikuwa na uhalali gani wa kumpiga jamaa usoni?Bahati sikuwa mimi lazima askari mmoja ningemvunja kiuno..Hiyo ni self defence, how sure are you kuwa wasingeendele mpiga km hakusimama kiume?
 
Kumpiga ngumi askari wa bunge ndiyo ushujaa.

Kwani askari alitakiwa fanya kazi kwa kupiga wabunge....?kwa udogo wa akili hamuwezi ona hilo..Askari ndio aliyefanya ujinga na ndugai hakuona haja ya kulinda wabunge wake haswa wa upinzani.
 
Hatuwezi kubishana na wewe mwenye upeo wa kufikiri si zaidi ya matukio ya kujaza vyoo vya wenye nyumba.
Nan abishane na wewe mwimba taarab,unachojua ni kipi zaid ya ukilaza ulio nao,kapake rangi magogoni
 
Ndugai alifanya upuuzi kwelikweli hakuon akuwa alipaswa heshimu mbunge yeyote na kumlind anadani ya bunge.....sugu kupigwa teke usoni ndani ya eneo la kazi kisheria halafu ndugai kwa kili ya hawavumi hakuona shida ni wazi kamati ya maadili na nyingine zijiandae kuwaambia watanzania kwanini bunge halina ulinzi kwa wabunge?
 
hapo alianza kwa kumuomba mungu amtangulie atoe mchango wenye manufaa kwa taifa na akaishia kutoa maneno ya dhihaka

tuna psychopaths wengi sana ktk siasa zetu..huwa wanafanya mmichanganyiko mingi sana ya vitu huku wakitaka watu waaamini kuwa ni wajuaji..Kigwangala kwake si shida kuchanga dini na ujamaa, kumtaja Mungu na uganga ktk sehemu zisizo sahihi ili mradu tuu afikie anapodhani kutakuwa na promo..
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

Ni saa tatu kasoro usiku, bado tuko polisi tangu saa kumi na moja kasoro.

Ni saaTano na Dakika Tatu sasa za asubuhi ya siku ya pili, hujatupa mrejesho, kamanda!
 
Back
Top Bottom