Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

pamoja na yote,ukweli ni kwamba kitendo mlichokifanya jana kimewatia doa.kama hamuamin tafuteni maoni ya wanaCHADEMA wote msikie wanachofikiri kuusu tukio la jana.

si wewe tuu unayeamini wana CDM ndio kipimo cha kila mfanyacho, hata JK na wengine Huwa wanaridhika sana mbowe akikubali kitu..achilia mbali Dr. Slaa ambaye CCM wapo tayari hta kuuza nchi ili awape pongezii..Hongera CDM kwa kuweka uongozi wa kuchoma sindano na kuwapa dawa.
 
sasa umesema nini hapa?Hawavumi ndugai kajaribu tafuta kutoka....kaharibu..Askari kapiga boss wake alipofuatwa naye aingie gahrama za kupiga watu hovyo CCM wametuma kuripoti polisi, sasa wao wamekwenda report...ulitaka nini sasa..mbona paragraphy ya juu inapinga na ya chini.

Njie vijana wa stuli ndefu mliofuga Hips mna shida sana ktk kuongea jambo la kweli lazima mumunye maneno.....kwa jinsi mnaotesha hips km very soon hata jinsi zentu mtaanza pata shida sema straightly .

Sasa hutaki watu wakasimamie hii issue ambayo km itafika mahakamani basi aliyepeleka malalamiko akathibitishe mahakamani..

Rejea Post ya Nasari utaelewa tu, wafuasi wa namna yako ndio ambao mfalme akikaa vibaya hawathubutu kumwambia, kitendo cha jana Bungeni sio cha kiungwana na wala sio katika mambo ya kujivunia. Na hekima ikitoka kwa wapinzani ndio itapendeza zaidi, hawa jamaa kuchaguliwa kwao na wanavyotunzwa kwa pesa za walipa kodi hawakupaswa kufanya haya wanayoyafanya. Sasa mtafutwe na polisi kwa soo za maana hizi za kupigana na utuuzima wenu sio sawa. Nicholas and etal ujue tupo watu wa tofauti na mawazo yenu na wala hatutazami kunyanzi la mtu. Sasa mliyoyaleta bungeni unataka kuleta na humu ukijibiwa utatafutia watu ban hips unafuga wewe unalolijua na unafurahia wabunge wanavyomenuliwa bungeni kwani ndio kazi iliyowapeleka.
Madiba hakukaa jela kwa issue hizi bana.
 
Makamanda tupo nyuma yenu na hakika tutashinda.

hakuna kurudi nyuma, hiki ni kipindi pekee cha kudhihirishia dunia kuwa CHADEMA ni chama makini kinachosimamia utu,usawa,haki na mshikamano bila uoga.

DEDICATION:
Sugu - Hakuna Matata | Muziki.net
 
Rejea Post ya Nasari utaelewa tu, wafuasi wa namna yako ndio ambao mfalme akikaa vibaya hawathubutu kumwambia, kitendo cha jana Bungeni sio cha kiungwana na wala sio katika mambo ya kujivunia. Na hekima ikitoka kwa wapinzani ndio itapendeza zaidi, hawa jamaa kuchaguliwa kwao na wanavyotunzwa kwa pesa za walipa kodi hawakupaswa kufanya haya wanayoyafanya. Sasa mtafutwe na polisi kwa soo za maana hizi za kupigana na utuuzima wenu sio sawa. Nicholas and etal ujue tupo watu wa tofauti na mawazo yenu na wala hatutazami kunyanzi la mtu. Sasa mliyoyaleta bungeni unataka kuleta na humu ukijibiwa utatafutia watu ban hips unafuga wewe unalolijua na unafurahia wabunge wanavyomenuliwa bungeni kwani ndio kazi iliyowapeleka.
Madiba hakukaa jela kwa issue hizi bana.

bado hakuna kitu hapa...kwani nani hajui utovu wa nidhamu kuwanzia kwa ndugai hadi kwa askari wa mule ndani...walitaka wakamshike mbowe bil adabu ka vile hawakuwa na adabu..na wala hawakujua km hata kutoka mbowe alikataa au laa....waliombiwa wamwache km "kauli ya yule nyapara Nkamia kuwa haongei na mbwa ila mwenye mbwa kwa sugu askari wenu waliochanganywa na usalam siku hiyo wakampiga sugu.." kukosa adabu kwingine kulipochafua hali ya hewa...Kwa sasa weze na cholestrol limefika ktk ubongo ukaona uhukumu effects....Sasa km ktk kufanya kazi iliyokuleta bungeni CCM wanakufikisha ktk mazingira km haya ulitegemea wafanyeje km si kupambana na hiyo hali,ili kuweza rudi ktk kazi ambazyo inawatisha sana CCM.

SI UTANI NACHUKIA SANA VIJANA WANAFUGA HIPS KULIKO GIRLFRIENDS WAO..WANATUPA SANA SHIDA ,TUNAPOHITAJIKA WASAIDIA MAJUKUMU WANWAKE WANALIA SANA WANEMUE NUSUNUSU HAWA WANA TAABU KUANZIA KUAMUA HATMA YA VIJANA HADI UNYUMBA NA JINSIA ZAO......Mbaya hata akili zao nazo zinaharibiwa na cholestrol...hata ktk maamuzi magumu na maendeleo ya nchi mpo shallowa sana..mnatupa sana kazi...rudi kwenye stull ndefu ukakutane na vilaza wengine .
 
Ninachoona ni mambo ya club kuhamia bungeni, hizi ndio athari za kuchagua wabunge watu wasio na sifa, hekima na busara. kupigana sio sifa ni ishara ya ushamba.

Kuna maneno kuwa baadhi ya wacheza mpira hawawezi kuingia uwanjani bila kuvuta bangi, kwa mwenendo wa bunge la sasa inawezekana kuna baadhi ya wabunge hawawezi kuingia bungeni bila kuvuta bangi, maana kwa akili ya kawaida mambo wanayoyafanya hayawezi kufanywa na mtu anayejiheshimu.
una utani na ndugai wewe!
 
Wapuuzi nyie hamna mambo ya kufanya zaid ya kushabikia fujo na aibu ztokeazo bungeni?ebu jiulizen n kina nan wamewatuma hapo na kwann sio kuleta itikad zenu zisizo na maslah ktk taifa hili.
hilo maccm linawahusu kama kigwangallaha!
 
Duh umejiongelea we mwenyew mpaka ukamaliza,walidai kura zihesabiwe wakazidiwa sasa alichokuwa anataka kukisema n. Kip wakat uchangiaji ulitakiwa kufanya na alitakiwa aongee Mzee Mrema?bongo lala ya mwenyekiti wako aliemuaibisha Sugu ndo umewafikisha hapo mlipoa,na msahau kuona ikulu 2015,,,,,waTz sio wapuuuz kias hko kama ww ulivo
jisemee wewe mwenyewe, mburula wee!
 
Tuko standby 50% kufuatilia yanayojiri hapo
kupitia mtambo mkubwa jf.
Tafadhali uwe unatudonolea yanayojiri !!!

Natamani konde moja la kiukweli lingempata ndugai mpaka azimie. kamwe haikubaliki kuamuru kiongozi mwenye wafuasi wengi vile adhalilishwe hivi.kama siyo leo ndugai anastahili adhabu kali hata kama MUNGU akimwita mbele za haki. siyo kiongozi.HATOSHI, ANATAKIWA AJITATHIMINI AONDOKE WENYE AKILI WACHUKUE NAFASI YAKE.
 
kinachonifurahisha ni kwamba, ngugay hakuweza mbabaisha Mbowe....na Mbowe hakupoteza ukamanda wake, alikuwa very composed, strong in character na comfortable....wameishia create scen nyingine ya kipuuzi kwa kumdhalilisha mbunge mwingine ambaye naye si wa polepole..Pinda anamjua kwa mengi,tangu kumwambia "huu si upepo ni kimbunga", "baadaye akamwambia ni --------", na sasa karibu angewachapa askari walioingia wasipostahili....Mbunge wa CDM akiwa hai au mfu ni hatari kwa CCM km mwiba wa nyuki kwa binadamu.
 
bado hakuna kitu hapa...kwani nani hajui utovu wa nidhamu kuwanzia kwa ndugai hadi kwa askari wa mule ndani...walitaka wakamshike mbowe bil adabu ka vile hawakuwa na adabu..na wala hawakujua km hata kutoka mbowe alikataa au laa....waliombiwa wamwache km "kauli ya yule nyapara Nkamia kuwa haongei na mbwa ila mwenye mbwa kwa sugu askari wenu waliochanganywa na usalam siku hiyo wakampiga sugu.." kukosa adabu kwingine kulipochafua hali ya hewa...Kwa sasa weze na cholestrol limefika ktk ubongo ukaona uhukumu effects....Sasa km ktk kufanya kazi iliyokuleta bungeni CCM wanakufikisha ktk mazingira km haya ulitegemea wafanyeje km si kupambana na hiyo hali,ili kuweza rudi ktk kazi ambazyo inawatisha sana CCM.

SI UTANI NACHUKIA SANA VIJANA WANAFUGA HIPS KULIKO GIRLFRIENDS WAO..WANATUPA SANA SHIDA ,TUNAPOHITAJIKA WASAIDIA MAJUKUMU WANWAKE WANALIA SANA WANEMUE NUSUNUSU HAWA WANA TAABU KUANZIA KUAMUA HATMA YA VIJANA HADI UNYUMBA NA JINSIA ZAO......Mbaya hata akili zao nazo zinaharibiwa na cholestrol...hata ktk maamuzi magumu na maendeleo ya nchi mpo shallowa sana..mnatupa sana kazi...rudi kwenye stull ndefu ukakutane na vilaza wengine .

Soma post yangu vizuri mbona mie nazungumzia kilichotokea wewe unataja yasiyokuwepo, maamuzi magumu ndio haya? sugu bungeni.png
kuna maendeleo gani yanaletwa kwa mtindo huu sasa hapa nani yuko shallow au kilaza? mbona wewe ndio unaonekana akili zako zimeharibiwa na cholestrol zaidi manake mwanaume hawezi jibia mwanaume mwenzie. Aliyepost kaelewa wewe ndio unatoa povu, we kazi akupe nani na utamletea maendeleo nani kama mawazo yako yenyewe ndio haya.
 
Ina maana polis bado hamjaondoka? Hao polis kuweni nao makini,maana hawakawii kutumia vitu vizito, Allah awalinde makamanda!!
 
Hivi Sugu alikurupuka tu kama kichaa akamtandika huyo poliCCM bila sababu??

Lakini mizengo iliyopinda si alitoa amri akisema wapigwe tu, kwa hiyo mh.sugu ametekeleza amri aliyoitoa mizengo iliyopinda.policcm inabidi wapigwe tuu...hata mimi nikikutana nao mtaani au bar nitawapiga tuu.
 
Soma post yangu vizuri mbona mie nazungumzia kilichotokea wewe unataja yasiyokuwepo, maamuzi magumu ndio haya?View attachment 110833
kuna maendeleo gani yanaletwa kwa mtindo huu sasa hapa nani yuko shallow au kilaza? mbona wewe ndio unaonekana akili zako zimeharibiwa na cholestrol zaidi manake mwanaume hawezi jibia mwanaume mwenzie. Aliyepost kaelewa wewe ndio unatoa povu, we kazi akupe nani na utamletea maendeleo nani kama mawazo yako yenyewe ndio haya.

unatia huruma sana kwani hata unachotaka achieve hujui....nimekuambi km CCM wameamua fanya bunge ligeuke na kuweka vikwazo na fujo kwa kiasi chakuleta hii hali wabunge wa CDM hawakauwa na njia nyingine zaidi ya kudeal na hali iliyopo ndipo waendeleena majukumu.CCm ni kam kunguru aanayenyea watu, sasa kwani aliyenyewa aabike au kudhalilishwa?

Wewe kwa akili yako wapi umeona CCM wanakwenda fanya kazi waliyotumwa?umeona wanavyopitisha, wanavyotete na kufanya wizi?Ndio uliwatuma hivyo.Wewe chelestrol imekumaliza akili..unalaani effects na victim badala la cause?

Hao askari wakitanzania wakipewa amri huwa hawana reserver ya akili.....wewe ni Zitto nini?kwani Sugu anakukata sana stim haswa unapojaribu linganisha elimu yake na yako, halafu ukirudi ktk performance.

kwani umeambia nina conflict na aliyepost?Au kaelewa nini sasa kwa vile kalala hajachangia?...unayo kazi sana.Mimi sichelewei kukupa live.Mnatuchosha kila mahali kwa chlestrol zenu zikichangiwa na makuzi ya stori za bar, na story za circle za wazee wenu wanapopeana habari kwa kuvizia kwa mashindano ya kuzungakana..hazina ukweli.Lazima uwe kilaza unayeishi kwa "Analysis za clouds FM" power breakfast ndio inaendesha serikali.
 
unatia huruma sana kwani hata unachotaka achieve hujui....nimekuambi km CCM wameamua fanya bunge ligeuke na kuweka vikwazo vya kufanya kwa kiasi ch akuleta hii hali wabinge wa CDM hawkauwa na njia nyingine zaidi ya kudela n ahali iliyopo ndipo waendeleena majukumu.

Wewe kwa akili yako wapi umeona CCM wanakwenda fanya kazi waliyotumwa?umeona wanavyopitisha, wanavyotete na kufanya wizi?Ndio uliwatuma hivyo.Wewe chelestrol imekumaliza akili..unalaani effects na victim badala la cause?

Hao askari wakitanzania wakipewa amri huwa hawana reserver ya akili.....wewe ni Zitto nini?kwani Sugu anakukata sana stim haswa unapojaribu linganisha elimu yake na yako, halafu ukirudi ktk performance.

kwani umeambia nina conflict na aliyepost?Au kaelewa nini sasa kwa vile kalala hajachangia?...unayo kazi sana.Mimi sichelewei kukupa live.Mnatuchosha kila mahali kwa chlestrol zenu zikichangiwa na makuzi ya stori za bar, na story za circle za wazee wenu wanapopeana habari kwa kuvizia kwa mashindano ya kuzungakana..hazina ukweli.Lazima uwe kilaza unayeishi kwa "Analysis za clouds FM" power breakfast ndio inaendesha serikali.

Bado hujaelewa inaonekana unaugomvi na watu wengi mara CCM, Zitto, Clouds FM, PB mie nimechangia post na ninachokiona wabunge bado hawajatimiza wajibu wao kwa kufanya kilichotokea jana kwani kulikuwa na njia bora zaidi. As a Taxpayer, sikubaliani na namna kodi zetu zinavyotumika kwa vitu visivyokuwa na Tija. Ugomvi wa namna ile bado haukustahili. Haya ndio mawazo yangu na siwezi kukuzuia usiwe na mawazo yako, inawezekana mawazo yako yakawa bora zaidi lakini siwezi kufikiri on your way. Mimi nitaendelea kuwa mimi, na kama umeamua chlestrol ikumalize inawezekana uko sawa na endelea si ndio ulemavu wako.
 
Bado hujaelewa inaonekana unaugomvi na watu wengi mara CCM, Zitto, Clouds FM, PB mie nimechangia post na ninachokiona wabunge bado hawajatimiza wajibu wao kwa kufanya kilichotokea jana kwani kulikuwa na njia bora zaidi. As a Taxpayer, sikubaliani na namna kodi zetu zinavyotumika kwa vitu visivyokuwa na Tija. Ugomvi wa namna ile bado haukustahili. Haya ndio mawazo yangu na siwezi kukuzuia usiwe na mawazo yako, inawezekana mawazo yako yakawa bora zaidi lakini siwezi kufikiri on your way. Mimi nitaendelea kuwa mimi, na kama umeamua chlestrol ikumalize inawezekana uko sawa na endelea si ndio ulemavu wako.
Acha utoto wewe...gia ya kushikilia wengine hawakuelewi ili uonekane kuwa mjuaji ni ya wanasiasa fulanifulani....ktk niliowataja hapo juu...Udogo wakili yako ndio unakupa shida kuswitch rapidly with multiple parameters bila kupotea..Umewahi jiuliza kwanini hueleweki?haiwekani kuretionalize irrational halafu ukabaki na irrationality.Unaandika ujinga sana kwa mwenye akili timamu kuulewa na si lingine.

CCM nanyi mnalipa Kodi?Km una uchungu na hiyo kodi nani anatumia vibaya kodi yako hapa?unafanana na Faiza Foxy naye alikuja kulalamika humu kuwa kuna mui ran kapewa tenda ya maji Gairo hadi sasa hakuna kitu, akalalama zaidi kuwa kapea jina zuri la nchi hii kwa kampuni yake ikaitwa serengeti...hakuwa anajau ni CCM ndio wa kulaumu na si CDM km yeye na viongozi wa CCM anavyoililia CDM..scene hiyo ni akili zenu za hawavumi ndio zinawaponza..Mandhani kujisubua na CDM basi mtatoka.

akili za magamba:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ni-hawavumi-hadi-top-wao-anafikiri-hivyo.html
 
Kwa hiyo, ishu ya sugu wanaichukulia serious kuliko yale madawa ya nzowa.m
 
Tatizo ninalioona humu kwa wana jf ni kusumbuliwa na baadhi ya wachangiaji ambao wanasoma shule za kata
 
wanafunzi zaidi miatano walimu wawili unategemea nini haiwekani muswada wenye mambo muhimu ukapitishwa kwa wengi wape
 
Back
Top Bottom