Tume ya haki za binadamu fuatilieni kauli ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha

usiue ALBINO

Member
Aug 14, 2023
73
64
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
 
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
NCHI HII INA WAZEE WA HOVYO SANA Mh. RAIS SAMIA ANAHANGAIKA SANA NCHI KUIWEKA KWENYE MISINGI YA HAKI NA MARIDHIANO ANAIBUKA MTU MZIMA HOVYO NA KAULI ZA KIJINGA NA KIBAGUZI SIJUI CCM INAWATOA WAPI WAZEE WA AINA HII
 
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
Huyu Mwenyekiti alichoma kijiji kizima huko Serengeti kwaajili ya wawekezaji wa kizungu Grumeti Reserves Singita.
 
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
Hili Jina Sabaya lina laana
 
NCHI HII INA WAZEE WA HOVYO SANA Mh. RAIS SAMIA ANAHANGAIKA SANA NCHI KUIWEKA KWENYE MISINGI YA HAKI NA MARIDHIANO ANAIBUKA MTU MZIMA HOVYO NA KAULI ZA KIJINGA NA KIBAGUZI SIJUI CCM INAWATOA WAPI WAZEE WA AINA HII
Mkuu ukishalaanika hakuna dawa inamponya mtu mweenye laana ya Mungu
 
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
Maandamano si yanatosha kupiga kelele jamani
 
Yote Mabaya Haya Na Ya Aibu Kwa Karne Ya 21 Kusikia Maneno Ya Ajabu
Yamelelewa Na CCM Yenyewe, Ni Kauli Mbovu Na Za Hovyo
Jiwe Aliwahi Kutoa Maneno Ya Hovyo Mbozi Akilazimisha Silinde Achaguliwe
 
NCHI HII INA WAZEE WA HOVYO SANA Mh. RAIS SAMIA ANAHANGAIKA SANA NCHI KUIWEKA KWENYE MISINGI YA HAKI NA MARIDHIANO ANAIBUKA MTU MZIMA HOVYO NA KAULI ZA KIJINGA NA KIBAGUZI SIJUI CCM INAWATOA WAPI WAZEE WA AINA HII
Huyo unasema anahangaika naye ni wa hovyo hivyo hivyo. Vinginevyo angetumia mamlaka yake kumkemea huyo aliyetoa kauli ya hovyo.
 
Kauli iliotolewa hivi karibuni na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha imenisikitisha sana. Kauli hiyo kwa upande wangu naiona kama ya ubaguzi kwa baadhi ya Wananchi ambao wanamtazamo totauti na fikira zake,jambo ambalo ni hatari kwa afya ya Taifa letu ambalo kwa muda fulani limepita kwenye kipindi ambacho baadhi ya Wananchi waliona kuwa walikuwa wameminywa katika utekelezaji wa baadhi ya majukumu yao, jambo ambalo waliona kuwa ni ukiukwaji wa katiba na sheria za Nchi.

Naiomba tume ya haki za binadamu kwa kushirikiana na taasisi na asasi mbali mbali,ikukemea kwa nguvu kauli kama hizo zilizotolewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Arusha.kauli kama hizi zinaweza kupelekea Wananchi hasa wale wanaokosa huduma muhimu kama maji au huduma nyingine,kuichukia serikali iliyopo madarakani wakiamini kuwa ni maagizo ya Mwenyekiti wa ccm Taifa

Natoa wito wangu kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza Wananchi kuwa makini na tahadhari katika maagizo na matamshi yao.

Pia soma: Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?
CHADEMA hawataki kuguswa kama mtoto njiti!!! Anzeni kwanza na kauli zenu za kipumbavu.

Mzee Sabaya kamatia hapohapo mpaka hawa Nyumbu wa KICHAGA watie adabu
 
Back
Top Bottom