Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Kuna wimbo naupenda nataka uje tusikilize pamoja
najua wimbo utakao upenda wewe na mimi nitaupenda pia, ukuje kwenye kile kitaa chetu unisikilizishe.
Kuna wimbo naupenda nataka uje tusikilize pamoja
najua tu unataka kura...........
mi nataka unichagulie wangu peke yangu Mwanyasi
nitumie salamu basi. wewe naye!...hadi nikulazimishe?. mia
Halafu ujue babe nimekununia mie..!
hahahaaa...... Haya poa.
Natuma salamu kwa kaka yangu kipenzi figganigga, kabanga, Mr Rocky. Mtambuzi, MziziMkavu
Washkaji zangu Chimbuvu, Vin Diesel, Mapi, Himidini, grand amour, WA-UKENYENGE, Wisest man, Simplicity, mwungwana, The Boss, mathematics, Jiwe Linaloishi
na mashostito... Madame B, farkhina, The secretary, Sista, miss chagga, Ablessed, MwanajamiiOne, tinna cute, DEMBA, AshaDii christine ibrahim
UJUMBE: TUKUMBUKANE KWENYE POLL: MISS CHIT-CHAT 2013.
figganigga nimetumia fursa aisee maana safari moja huanzisha nyingine lol!
Angel Nylon mi nakupendaNatuma salamu kwa wanajeiefu wooote wanipendao na wanichukiao.
Mimi nawapenda nyinyi.
Ujumbe: ukiona mvua inanyesha sana, tunakumbushwa kupanda na kupalilia.
Naomba rushwa.....
heeee! Mie na wewe ni wakupeana rushwa tena?
Yani nimekuja mbio nikajua umenisalimu, kumbe unaniitia ziraili mtoa roho.
Moo yako ishike mwenyewe.
Sichezi tena na wewe.
salamu za mwanzo kabisa ziwadikie wake zangu wapenzi AshaDii gfsonwin na mke mupya kabisa barafu wangu DEMBA, akiwa pembeni yangu
Pili zimfikie homeboi wangu Asprin, akiwa kaunta ya juu Kingstaa, tatu zimfikie msiri wangu mwaJ, akiwa kule Sirari na Mwita Maranya. Tatu zimfikie mtawa mwallu akiwa parokiani, Heaven on Earth akiwa kinondoni shamba na bila kumsahau mwalimu wangu kipenzi wa vitendawili Madame B akiwa darasani 6B.
Bila kuwasaua wana CC woote.
Ujumbe: Jiko la shamba halichagui kuni
Wimbo: Neema wa DDC mlimani park