Augustoons
JF-Expert Member
- Oct 31, 2007
- 409
- 31
Yeah yote tisa kumi TUJIFUNZE LUGHA YETU-"KIBANGA AMPIGA MKOLONI"Kiburi si maungwana bwana.
Mhh nawasikitikia sana watoto wa siku hizi sijui wanasoma nini,madogo hata nikiwauliza std 2 walisoma nini hawakumbuki ni michanganyo tu kutokana na haya mambo ya kina mungai. Wakati mie hadi leo nina kitabu cha SOMENI KWA FURAHA
Mhh nawasikitikia sana watoto wa siku hizi sijui wanasoma nini,madogo hata nikiwauliza std 2 walisoma nini hawakumbuki ni michanganyo tu kutokana na haya mambo ya kina mungai. Wakati mie hadi leo nina kitabu cha SOMENI KWA FURAHA