Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,716
- 1,646
Dah kwakweli yaniYeah... Sasa bongo ukipata ajali ya baskeli polisi aje kufanya nini Mi mwenyewe nilikua natetemeka wasinipime pombe maana fine ingenihusu...luckly hakukuwa na gari nyuma yangu
Lakini pole sana ndugu,
Yani kumbe hata majuu waweza kunywa tu kama huku bongo,!
Lakini huko angalau wako vizuri hadi unapelekwa hospital na ambulance tena kwa msaada wa police.
Huku bongo ajali ya baiskeli hawaihesabu kabisa.