mashonga
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 612
- 997
daah nakumbuka nilikua darasa la tatu nilikua napenda sana mambo ya ufundi umeme na redio, hasa kuna siku alikuja fundi umeme nyumbani kuna vioande vya wire vikabaki, nilikua na kiredio kidogo cha betri nikajiuliza kwa nini ninunue betri wakati nyaya zipo? basi bwana nikajifanya fundi nikachukua mult plug moja nikaifungua nikaunga nyaya nikaja kuunga na sehemu ya kuweka betri kwenye redio.
Ile kuwasha naona redio kimya sijui niliwaza nini asee nikashika zile nyaya daah nilikula shoti moja ya maana sana hadi leo sielewi nilichomokaje pale!! kuanzia hapo hadi leo sitaki kucheza na umeme tena imezidi sana labda nibadili taa!
Ile kuwasha naona redio kimya sijui niliwaza nini asee nikashika zile nyaya daah nilikula shoti moja ya maana sana hadi leo sielewi nilichomokaje pale!! kuanzia hapo hadi leo sitaki kucheza na umeme tena imezidi sana labda nibadili taa!