Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
I hope now unajua jinsi ya kufanya iwapo umeonyeshwa mabaya yaliyo mbele yakoHakika
Shetani yupo kazini
MUNGU pia yupo,halali wala hasinzii kwa ajili ya maisha ya kwetu
Na hii kitu niliwahi onyeshwa(huwa naota na napata mafunuo kwa njia ya mawazo)
Lakini kwa umri niliokuwa nao sikuelewa,pengine kwa sababu ya utoto na imani yangu ilikuwa ndogo nadhani.
Ila Mungu yupo, Mungu wetu ni Mungu wa vita...ana nguvu.
God heals everything
All the pains i passed through yet He was there for me
Kuna wakati anafanya pasi na kumuomba..
Huwa nashangaa Sana kuna watu huwa hawaoni sababu ya kumshukuru Mungu,wameelekeza sana malalamiko kwa Mungu kuliko shukrani,hawajui wao kumaliza siku wakawa wazima wa afya,wanakula,wanaona,wanatembea,wanaongea ni sababu tosha za kumshukuru Mungu.