Dodoma kipigo cha mbwa koko
2010, dodoma kulikuwa kuna bash royal village dogo wangu akanitunuku rafiki zake wawili niende nao, walikuwa wamevaa ovyo, party ikaisha mda wa kuondoka tunatoka nje tunaelekea kweny gari mob ikaanza kuwavuta wale mademu, ikabidi nikimbie fasta kuchukua gari mademu nimewaacha na mshkaji wangu wamezongwa zongwa, kurudi pale wademu wameingia mmoja seat ya mbele mwingine kakaa nyuma na mchizi, kufumba na kufumbua mob imezingira gari wanataka mademu, mara kioo kimevunjwa mlango umefungulia mademu wanavutwa wamebebwa juu juu ndio kushuka na mimi kwenda kuwaokoa, ebanaeeee nilichezea kichapo siyo cha nchi hii, nilichoropoka nikarudi hotelini, gari la aunt yangu nyang’a nyang’a, demu mmoja aliokolewa na mabaunsa mwingine aliliwa mtungo vichakani