kisana kiki
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 266
- 287
Mwaka 2008 nikiwa Standard 7, Tulienda kufanya mitihani ya Jumamosi shule ya msingi KALOBE Mbeya Mjini
Hapo tulikutana shule zaidi ya 10 kufanya paper moja la kujipima na tulifanya hivyo kila jumamosi lakini kwa kubadili badili shule ya kufanyia kwa malipo ya shilingi 300.
Sasa baada ya Kufanya paper zetu, huwa tulikuwa tunacheza mpira na michezo mingine tukisubiri TOKEO.
Mimi na majamaa mengine kutoka Mixture ya shule mbalimbali tukawa tunacheza TOBO DUNDA Halafu ukipigwa TOBO inatakiwa ukimbie ukamshike Demu mmoja alikuwa anaitwa Grace ILI Uepukane na Kipigo kitakatifu kutoka kwa MASELA.Kwahiyo tuliita TOBO DUNDA, SHIKA GRACE
TUMEcheza tumecheza, Wahuni wakanipiga TOBO, Dah kile kipigo nilipewa na maraia kutoka shule ya 10 siji kukisahau.
Nilikong’otwa kweli kweli mpaka wakaacha wenyewe maana nilikuwa napigiwa kwenye Dawati baada ya kukimbia toka uwanjani nikimSaka Grace nimshike nipone Kipondo.
Nilikuja kushtuka baadae nimelazwa kwenye nyasi na marafiki zangu napewa maji ninywe.
Wale Jamaa zangu walinisindikiza mpaka home nikiwa na Nundu Kama Zote usoni na Damu puani na mdomoni.
Baada ya kufika Home Mzee nae akaniongezea Stiki za kutosha kukazia.
Siji kusahau maana nilipigwa Kama Mwizi Aisee.
Mpaka kesho ,mtoto wangu acheze michezo yote lakini TOBO DUNDA AACHANE NAYO
Hapo tulikutana shule zaidi ya 10 kufanya paper moja la kujipima na tulifanya hivyo kila jumamosi lakini kwa kubadili badili shule ya kufanyia kwa malipo ya shilingi 300.
Sasa baada ya Kufanya paper zetu, huwa tulikuwa tunacheza mpira na michezo mingine tukisubiri TOKEO.
Mimi na majamaa mengine kutoka Mixture ya shule mbalimbali tukawa tunacheza TOBO DUNDA Halafu ukipigwa TOBO inatakiwa ukimbie ukamshike Demu mmoja alikuwa anaitwa Grace ILI Uepukane na Kipigo kitakatifu kutoka kwa MASELA.Kwahiyo tuliita TOBO DUNDA, SHIKA GRACE
TUMEcheza tumecheza, Wahuni wakanipiga TOBO, Dah kile kipigo nilipewa na maraia kutoka shule ya 10 siji kukisahau.
Nilikong’otwa kweli kweli mpaka wakaacha wenyewe maana nilikuwa napigiwa kwenye Dawati baada ya kukimbia toka uwanjani nikimSaka Grace nimshike nipone Kipondo.
Nilikuja kushtuka baadae nimelazwa kwenye nyasi na marafiki zangu napewa maji ninywe.
Wale Jamaa zangu walinisindikiza mpaka home nikiwa na Nundu Kama Zote usoni na Damu puani na mdomoni.
Baada ya kufika Home Mzee nae akaniongezea Stiki za kutosha kukazia.
Siji kusahau maana nilipigwa Kama Mwizi Aisee.
Mpaka kesho ,mtoto wangu acheze michezo yote lakini TOBO DUNDA AACHANE NAYO