Tulia.... Vuta Taswira...

Tulia.... Vuta Taswira...

I hope you meant kesho ya leo Kloro.... Alafu nashangaa kweli kweli, hii topic imekugusa nini?? maana lawyer wetu hukwepaki mambo kama ulivokwepa hapa....lol

Dah! Taswira bado imegoma Aisee! lakini kwa chap chap nazani ningewish dunia ikuwe kama kijiji kimoja tu, hakuna border wala nchi wala rais wala chama, Interaction ya watu isikuwe limited, na watu wahukumiane kimaumbile na sio kwa kupangiwa sheria kwa hisani ya marekani au ujerumani au Kikwete.

In short ningewish for natural, free green world bila influence ya the so called wanasiasa au Super powers.
 
Dah! Taswira bado imegoma Aisee! lakini kwa chap chap nazani ningewish dunia ikuwe kama kijiji kimoja tu, hakuna border wala nchi wala rais wala chama, Interaction ya watu isikuwe limited, na watu wahukumiane kimaumbile na sio kwa kupangiwa sheria kwa hisani ya marekani au ujerumani au Kikwete.

In short ningewish for natural, free green world bila influence ya the so called wanasiasa au Super powers.


That is so ideological..... On a Serious Note; Naomba ufungue Thread tujadili hilo suala kwa upana kabisa... Kwa kujariub ku imagine...

The last sentence... I love it... It would have been wonderful... thou najaribu kufikiri if possible to maintain....
 
That is so ideological..... On a Serious Note; Naomba ufungue Thread tujadili hilo suala kwa upana kabisa... Kwa kujariub ku imagine...

The last sentence... I love it... It would have been wonderful... thou najaribu kufikiri if possible to maintain....

heheh usisahau Ashadii hii ni wish, kwahiyo pia nimewish kwamba hao binadamu wataishi kutumia ubinadamu wao na sio ile sehemu ya unyama iliomo ndani ya damu zao, pia naelewa kwamba dunia lazima ipate uongozi lakini am against wale viongozi wanaoweka sheria ambazo wanajua deep inside kibinadamu haziwezekani au zina athari.
 
heheh usisahau Ashadii hii ni wish, kwahiyo pia nimewish kwamba hao binadamu wataishi kutumia ubinadamu wao na sio ile sehemu ya unyama iliomo ndani ya damu zao, pia naelewa kwamba dunia lazima ipate uongozi lakini am against wale viongozi wanaoweka sheria ambazo wanajua deep inside kibinadamu haziwezekani au zina athari.


Naona nilijisahau kidogo kua ni wishes....lol... Ila inaweza pendeza saana aaaisee!

Ila kumbuka tu mwanadamu ni mwanadamu, as long as kuna viongozi... anaeongozwa lazima in one way or another alipe....
 
Kaunga binadamu twapishana... hivo kupishana pia katika yale ambayo yanafurahisha nafsi zetu... What makes you happy??
<br />
<br />
Partying
Not needing anything
Healthy
To love and feel loved
Friendship
Nice food
A glass of wine
When l make a difference
Helping others etc
 
<br />
<br />
Partying
Not needing anything
Healthy
To love and feel loved
Friendship
Nice food
A glass of wine
When l make a difference
Helping others etc


Kaunga you have to narrow it to one thing bana...
 
<br />
<br />
Lemme try. Ni ngumu lkn!

When l am in love, l am the happiest woman in the world!


Gosh! Kaunga THANK YOU For this post... i always thot uko pande zingine... I am so happy... Dah!
 
<br />
<br />
Ha ha ha!!!!
Kuna mtu alisema, raha iliyopo peponi ni mara mia ya ile unayofeel ukiwa unamake love! LOL


Huyo alosema hayo maneno.... ana hakika kweli?? Maana hio in red ina raha yake nayo...
 
Gosh! Kaunga THANK YOU For this post... i always thot uko pande zingine... I am so happy... Dah!
<br />
<br />

Pande zipi? I am made of flesh, though l have tough muscles!
 
Mbona Unazidi nichanganya?? Soma hii post... (<font color="#fff0f5">Siku zoote i thot we me</font>')<br />
Sasa hayo ya Muscles naona wanichanganya tena!
<br />
<br />

What did u mean by pande zingine?
 
What did u mean by pande zingine?


I thought wewe ni mwanaume.. hivo nikafurahi kua ni mwanamke mwenzangu... yawezekana young but kwamba ni female ndo ilinifurahisha... Sorry Kaunga... Nimekukwaza??
 
Chakula, mke, furaha, kitambi, watoto na fwedha za kumwaga mtu!!! :A S 109:
 
I thought wewe ni mwanaume.. hivo nikafurahi kua ni mwanamke mwenzangu... yawezekana young but kwamba ni female ndo ilinifurahisha... Sorry Kaunga... Nimekukwaza??
<br />
<br />
Aah sikukuelewa, l was just stressing that l am capable of loving but l don't take nonsense from men (tough muscles)! About being a man don't worry, my id name sounds manly but l am a woman in every sense, so be free to invite me to ur girltalk!
 
Back
Top Bottom