Tuko Milioni 60,Serikali kwanini isitulipe wananchi kila Mwezi milioni 1 ambazo kwa ujumla itakuwa milioni 60?

Nimecheka sana aseee 🤣🤣🤣🤣🤣. Hesabu umekosea hapo

1,000,000 * 60,000,000 = 60,000,000,000,000 hiyo ni 60 Trillion nchi itatoa wapi hiyo hela.

Ni sawa na 24 billion dollars
Mkuu hii hesabu ya wapi?,wewe ulikimbia hesabu ya mwalimu Mtweve

Watu milioni 60 x milioni 1 = 60 milioni
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba

Au mnasemaje wananzengo😂😂
Hii hesabu hata Mama Abdul haiwezi kuisoma vizuri japo umekosea kuzidisha
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba

Au mnasemaje wananzengo😂😂
Mkuu tumia tarakilishi basi kupiga hiyo hesabu kisha njoo unifuate
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba

Au mnasemaje wananzengo😂😂
Wanazitoa wapi?
 
Vichwa vyenu ni [empty set] ...Hapa mtu ana degree na analia ajira... Hesabu mikazo zero...
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!


Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.

Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.

Nadhani hii iwekwe kwenye katiba

Au mnasemaje wananzengo😂😂
Mkuu inaelekea wewe na hesabu ni 0.
Watu 60,000,000 x 1,000,0000 = 60,000,000,000,000. Hiyo ni sawa na tillion 60. Almost budget ya TZ mwaka mzima ikiwemo misaada na mikopo.
 
Back
Top Bottom