Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Ukiona shetani anakusifia ni Kwa vile huna madhara nae ( mwenye akili anafahamu)Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Tangu lini sheikh ambaye ana njaa ya kichwani akaaminika..huyo ni mchumia tumbo..na statement yake imekaa kinafiki..na wivu anaona watu maaskofu wameongezeka kila kona na kila siku waumini wake wanahamia ukristo wivu umemjaa..atulie aendelee kutumika na chama cha kijani.Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Cha biblia au mapokeo ya waroma waliokua waabudu sanamu.Kifungu cha 14: Hakuna Wokovu Nje ya Kanisa La Kristo, Kanisa Moja Takatifu Katoliki La Mitume La Kimisionari.
Ndugu naomba uthibitishe hiyo number 4 kipengere cha pili.1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Kwa hiyo kauli ya mtu mmoja ambaye ni binadam kama wewe inahitimisha kila kitu kwakoKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Ni Orthodox na Uislamu ndio utakuwa kitu kimoja kuwapiga mayahudi na wakristo angalia Orthodox wanafuga madevu kama waislamu mm mpk kanisa lao nimeingia hakuna bench za kukaa watu wote mmesimama sio Catholics .Kama hujui basi jua kwamba Catholics sio christians
And catholics na Islam ni kitu kimoja. So lazima wasifiane.
And mwisho wa siku kwahiyo shehe alhadndio benchmark yako kuhusu ukatoliki?
Hakuna ibada za sanamu, ila mbona huoni dhmbi ya kutapeliana huko ulololeni, kama kuna sehemu kunaongoza kwa utapeli kupitia dini basi ni nyie, mnajiita walokole.1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Wivu tu unamsumbua..yeye atulie injili iendelee kuhubiriwa..watu aokolewe wondoke kwa ibilisi mvaa kobazi."Sasa hivi tuna Msiba mkubwa, mtu anajiamkia tu Nyumbani anajiita askofu Wakati hata uchungaji hajapitia,leo nimeshuhudia askofu sio jambo la mchezo mchezo ni Safari ngumu " Sheikh DSM
Ukatoliki unakulipa mshahara kila mwisho wa mwezi. Kwanza papa ShogaWenye Chuki nasi Wakatoliki utawajua.
Sawa kuhani ,mwalimu,mtume na nabiiWivu tu unamsumbua..yeye atulie injili iendelee kuhubiriwa..watu aokolewe wondoke kwa ibilisi mvaa kobazi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ,,Ukiona muislam anasifia jambo la kikristo ujue hilo limekaa kiislam zaidi kuliko kikristo"Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Au ,,Ukiona muislam anasifia jambo la kikristo ujue hilo limekaa kiislam zaidi kuliko kikristo"Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Luka 6:26 Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo kama hayo.Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.