Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Mwezi huu tumeanza kusikia vifo vingi bila kuambiwa vimetoka wapi. Wiki hii moja tu kuna wazee baba wa rafiki na Mama wa rafiki wamefariki kwa mazingira kama ya Corona ya homa, kushidwa kupumua na kukohoa. Wato walikuwa na magojwa mwngine na miaka zaidi ya 68.

Uchunguzi uliofanywa kwenye state ya new york kwa kuchunguza watu 3000 ambao hawaumwi wamekuta 14% kwa jimbo zima na 20% kwa mji mkuu wa New york wameumwa na kupona bila kujua hivyo kuna mengi ambayo hatujui kuhusu huu ugojwa.

Ushauri wangu kwanza wafiche wazee wako kama wapo na waelimishe, pili serikali ipime watu zaidi kama inawezekana na tatu ni lazima wahauri watu wasiwnde sehemu ambazo si za lazima.

Yaani huu ugojwa unachochoe magojwa watu walionao wazidiwe hivyo wenye pumu utaambiwa ni pumu, wenye kisukari hivyo hivyo hatutajiua idadi lakini tukiona misiba gafla inakuwa mingi tujiulize kwanini sana
Watu wanakufa usipime ! Niko mahali naandaa orodha halali ya waliokufa kwa Corona , nitailipua muda wowote ikiwa na ushahidi mwanana kabisa .

Potelea mbali .
 
1. Lockdown.....NEVER!
2. Huduma hospitali....NEVER!
3. PPE kwa Wahudumu...NEVER.

"KUJIFUKIZA KWA MVUKE WA JOTO LA NYUZI JOTO 100 NDIYO TIBA SAHIHI......!"
Hii Ni kulingana na maelekezo ya DR
J.POMBE MAGUFULI
IMG-20200423-WA0003.jpg
 
Watu wanakufa usipime ! Niko mahali naanda orodha halali ya waliokufa kwa Corona , nitailipua muda wowote ikiwa na ushahidi mwanana kabisa .

Potelea mbali .

God shall take care of you as far as your info is valid,true with evidence!
Siku zote Njia ya mwongo ni fupi sana.......!!!!!
 
Mkuu Kamundu, nakuomba please, tusitishane!. Tangu kuibuka kwa ugonjwa wa Corona, so far kwa Tanzania, kumetokea vifo 10 tuu ndio vya Corona, sasa hii habari ya vifo vingi, inatokea wapi?.

Kila lenye mwanzo lina mwisho, uhai upo umeumbwa na kifo pia kipo kimeumbwa, ile siku unazaliwa tayari kifo chako umeisha andikiwa, hivyo hata hao 10 waliokufa waliandikiwa, wakati huo huo vifo vingine vya magonjwa mengine vinaendelea daily na sio Corona!.

Kwa mujibu wa utoaji wa taarifa za Corona, taarifa zote rasmi zitatolewa na serikali pekee, hivyo hata akitokea mtu mwingine yoyote akafa kwa kuonyesha dalili zote za Corona, huyo atakuwa amekufa tuu kwa mengine na sio kwa Corona!.
Tanzania hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile 10!, sasa kwa idadi hiyo ukilinganisha na vifo vya Italy or US compared, kuna vifo vingi gani?. Mkuu Kamundu, Tusitishane jamani!.
P
 
Mkuu Kamundu, nakuomba please, tusitishane!. Tangu kuibuka kwa ugonjwa wa Corona, so far kwa Tanzania, kumetokea vifo 10 tuu ndio vya Corona, sasa hii habari ya vifo vingi, inatokea wapi?.

Kila lenye mwanzo lina mwisho, uhai upo umeumbwa na kifo pia kipo kimeumbwa, ile siku unazaliwa tayari kifo chako umeisha andikiwa, hivyo hata hao 10 waliokufa waliandikiwa, wakati huo huo vifo vingine vya magonjwa mengine vinaendelea daily na sio Corona!.

Kwa mujibu wa utoaji wa taarifa za Corona, taarifa zote rasmi zitatolewa na serikali pekee, hivyo hata akitokea mtu mwingine yoyote akafa kwa kuonyesha dalili zote za Corona, huyo atakuwa amekufa tuu kwa mengine na sio kwa Corona!.
Tanzania hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile 10!, sasa kwa idadi hiyo ukilinganisha na vifo vya Italy or US compared, kuna vifo vingi gani?. Mkuu Kamundu, Tusitishane jamani!.
P

P, nakataa kwamba kuna vifo kumi tu vya Corona inawezekana upande wako hayajakupata majanga bado na news zinakuja late baada sana na matokeo

Weekend hii pekee tu nayo yajua kwa uhakika

1. Rafiki yangu binafsi kafariki leo na mke wake yupo kwenye kutengwa mpaka sasa na nimeongea naye mwili umechukuliwa na jeshi alipokuwa anafanya kazi
2. Baba wa best friend wa mke wangu alikuwa na matatizo mengine kwa muda kafariki alhamisi lakini mwili wakakataliwa kuuchukuwa ukapimwa wakakuta una corona familia yao yote imewekwa kwenye uangalizi maana walikuwa hawajui kama ni tatizo.
3 jirani yetu ununio mzee kafariki kwa corona juma tatu na familia iko kwenye uangalizi
4. Baba wa rafiki yetu ambao wanaishi Texas kwa sasa baba yako amefariki jumapili na baada ya kuangaliwa kakutwa na corona. Mama yao anasubiri vipimo kwa sasa maana naye alikuwa hajui

Vilevile kuna Dr ambaye ana corona kwasasa ni mzima anafanya kazi chini ya rafiki yangu ambaye ni Dr mkuu wa mkoa sitasema ni wapi.

Mimi sijasema habari za serikali ni za wongo inawezekana kabisa wanachelewa kutoa taarifa lakini kama wewe binafsi unaona hizi ni porojo zipuuze lakini nimelenga kwa wale ambao wanajali wazazi kuliko siasa na pesa. Na kesi za sasa hivi utafundua wamepata wakati wa pasaka. Amini unachoamini na data sijui za serikali zinachukuwa muda gani mpaka kufika. Kigogo katoa taarifa leo ya watu 6 na naanza kumwamini maana mmoja ni rafiki yangu kati ya hao na ni kweli amekufa kwa corona. Tatizo wengi wanaingiza siasa kwenye ugojwa.
 
Mwezi huu tumeanza kusikia vifo vingi bila kuambiwa vimetoka wapi. Wiki hii moja tu kuna wazee baba wa rafiki na Mama wa rafiki wamefariki kwa mazingira kama ya Corona ya homa, kushidwa kupumua na kukohoa. Wato walikuwa na magojwa mwngine na miaka zaidi ya 68.

Uchunguzi uliofanywa kwenye state ya new york kwa kuchunguza watu 3000 ambao hawaumwi wamekuta 14% kwa jimbo zima na 20% kwa mji mkuu wa New york wameumwa na kupona bila kujua hivyo kuna mengi ambayo hatujui kuhusu huu ugojwa.

Ushauri wangu kwanza wafiche wazee wako kama wapo na waelimishe, pili serikali ipime watu zaidi kama inawezekana na tatu ni lazima wahauri watu wasiwnde sehemu ambazo si za lazima.

Yaani huu ugojwa unachochoe magojwa watu walionao wazidiwe hivyo wenye pumu utaambiwa ni pumu, wenye kisukari hivyo hivyo hatutajiua idadi lakini tukiona misiba gafla inakuwa mingi tujiulize kwanini sana
Una takwimu za vifo vya kila siku, wiki, mwezi kabla ya janga la corona na sasa wakati wa corona ili tulinganishe?
 

Ikiwa serikali imechukua jukumu la kuwazika wenzetu wanaotangulia, hili ni Jambo la.kupongzwa Sana serikali yeti badala ya kuwaachia.mzigi ndugu ambao penginepaka.wangoje michango na hawana uwezo na pia hawana njia nzuri zqmkujikinha na maambukizi.

Naona hiyo video kuwa kuna uwezekano ndugu wanajulishwa na wahudhurie wachache kwani kuna mpaka maua wanapozika, na pia kuna mtu anapiga picha ingawa anaambiwa picha haziruhusiwi lakini akaendelea tu kupiga picha kama vile maziko ni public issue. Na huyo Ansbert Ngurumo sijaelewa kwanini mambo private anayasambaza?

Kuna nchi hawapati hayo. Ni jambo la kuishukuru serikali na wanaojitolea kwenda kuzika.
 
Mwezi huu tumeanza kusikia vifo vingi bila kuambiwa vimetoka wapi. Wiki hii moja tu kuna wazee baba wa rafiki na Mama wa rafiki wamefariki kwa mazingira kama ya Corona ya homa, kushidwa kupumua na kukohoa. Wato walikuwa na magojwa mwngine na miaka zaidi ya 68.

Uchunguzi uliofanywa kwenye state ya new york kwa kuchunguza watu 3000 ambao hawaumwi wamekuta 14% kwa jimbo zima na 20% kwa mji mkuu wa New york wameumwa na kupona bila kujua hivyo kuna mengi ambayo hatujui kuhusu huu ugojwa.

Ushauri wangu kwanza wafiche wazee wako kama wapo na waelimishe, pili serikali ipime watu zaidi kama inawezekana na tatu ni lazima wahauri watu wasiwnde sehemu ambazo si za lazima.

Yaani huu ugojwa unachochoe magojwa watu walionao wazidiwe hivyo wenye pumu utaambiwa ni pumu, wenye kisukari hivyo hivyo hatutajiua idadi lakini tukiona misiba gafla inakuwa mingi tujiulize kwanini sana
Umesema tumeanza kusikia . wewe nananii ? Pili umetoa mfano mmoja kwa Tanzania unamaanisha huo mfano ndio vingii ? Af mbona watu walikuwa wanakufaa kabla ya koronaa ? Ushauri wako wa mwisho ni mzuri tutajitahidii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichangia hivi kwenye uzi mwingine:

Hii itakua unpopular opinion ila nitasema ninachofikiri.

Pasi na chembe ya shaka Covid-19 ni ugonjwa hatari ila, kwa mawazo yangu, dunia nzima ime overact na jinsi ya kukabiliana na huu mlipuko.

Kinachoendelea sasa ni mashindano ya kutoa takwimu za waathirika na kutishana. Bado death rate ya corona sio ya kutisha sana kiasi cha kufanya shughuli zingine zote zisimame. Ikumbukwe watu walikua wanakufa kabla ya corona na wataendelea hata baada ya corona, it's the circle of life. Sasa kila anayefariki ni corona magonjwa mengine yote yamepotea ghafla. Hata mimi nikifa kwa corona hakuna sababu ya maisha ya wengine kusimama.

Nadhani kuchukua tahadhari tu ingetosha ila sio kusimamisha maisha ya watu juhudi ambazo hazionekani kuzaa matunda yoyote, mwishoe watu watasema potelea mbali na kurudi makazini. Dawa au chanjo ya corona isipopatikana hadi mwakani watu wataendelea kukaa ndani mwaka mzima?

Sasa bongo nao watu wanataka kila kitu kisimame sababu corona imeua watu watano toka ianze, really? I can assure you malaria imeua wengi zaidi ya hao in the last 24hrs.

According to Wikipedia, Mortality rate - Wikipedia, inakadiriwa watu laki moja na nusu hufa kila siku kwa sababu mbali mbali duniani. Sasa iweje corona iliyoua watu karibu watu laki moja na nusu kwa miezi mitatu isimamishe dunia.

www.worldometers.info/coronavirus/
Confirmed
2,173,432
Recovered
554,786
Deaths
146,291

Media nyingi zinatoa idadi ya vifo na waathrika wapya tu hawasemi wangapi wamepona. Nia ni kujazana hofu.

Come June maisha yataendelea aidha chanjo imepatikana au lah, vinginevyo we're facing economy Crashdown beyond repair. Kilichofanyika so far ni kuua sisimizi kwa nyundo.

Leo naongezea, JPM kawa sahihi na mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya corona, hakuna papara wala lockdown za kishamba. Leo wale wale waliokuwa wakwanza kukimbilia kufunga nchi zao wanaanza kufungua ilhali bado dawa wala chanjo ya corona haijapatikana. Kwahiyo muda wote waliofanya lockdown ni useless na lockdown zao hazijaa matokeo chanya yoyote, wana victims sawa au zaidi ya ambao hawajafanya lockdown kabisa.
 
Kwa madai ya hawa immunologists in California, hospital huko hazina watu. Bado death rate ya flu ni kubwa kuliko haya mafua ya sasa ya corona. Corona ni mafua ya kawaida kama mengine.Inayoitwa lockdown kwa nje ni kufunga biashara ndogo ila kubwa zote zipo wazi I donno how that works. "Big Businesses are open, little business is not. There's NO science behind that." - Dr. Erickson

Angalia video kwa maelezo zaidi

 
P, nakataa kwamba kuna vifo kumi tu vya Corona inawezekana upande wako hayajakupata majanga bado na news zinakuja late baada sana na matokeo

Mimi sijasema habari za serikali ni za wongo inawezekana kabisa wanachelewa kutoa taarifa lakini kama wewe binafsi unaona hizi ni porojo zipuuze lakini nimelenga kwa wale ambao wanajali wazazi kuliko siasa na pesa. Na kesi za sasa hivi utafundua wamepata wakati wa pasaka. Amini unachoamini na data sijui za serikali zinachukuwa muda gani mpaka kufika. Kigogo katoa taarifa leo ya watu 6 na naanza kumwamini maana mmoja ni rafiki yangu kati ya hao na ni kweli amekufa kwa corona. Tatizo wengi wanaingiza siasa kwenye ugojwa.
Mkuu Kamundu, kwanza pole tena kwa kuzidi kupoteza wapendwa wako kwa Corona, hii issue ya idadi ya vifo vya Corona mpaka sasa ni vifo 10 tuu!. As a matter of principles, maadam mtoaji taarifa za Corona ni mmoja tuu serikali, na idadi ya mwisho ya vifo vya Corona iliyotolewa na serikali ni vifo 10, idadi hiyo itaendelea hivyo mpaka serikali itakapo idadi nyingine, hii sio issue ya wewe kukubali au kukataa, we are sticking to the official data.

Hii ya kuniambia naona ni porojo, sijasema ni porojo ila kama tumeweka principles lazima tuzifuate kuwa taarifa za updates ya Corona kwa Tanzania zitatolewa na mamlaka moja tuu, serikali.

Naomba tusubirie update ya leo.
P
 
Mkuu Kamundu, kwanza pole tena kwa kuzidi kupoteza wapendwa wako kwa Corona, hii issue ya idadi ya vifo vya Corona mpaka sasa ni vifo 10 tuu!. As a matter of principles, maadam mtoaji taarifa za Corona ni mmoja tuu serikali, na idadi ya mwisho ya vifo vya Corona iliyotolewa na serikali ni vifo 10, idadi hiyo itaendelea hivyo mpaka serikali itakapo idadi nyingine, hii sio issue ya wewe kukubali au kukataa, we are sticking to the official data.

Hii ya kuniambia naona ni porojo, sijasema ni porojo ila kama tumeweka principles lazima tuzifuate kuwa taarifa za updates ya Corona kwa Tanzania zitatolewa na mamlaka moja tuu, serikali.

Naomba tusubirie update ya leo.
P
Hahahaha
 
Back
Top Bottom