Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Lockdown ingeweza kupinguza community spreading ili tupate muda wa vifaa watu wengi watakufa kwasababu ya oxygen tanks tu vitu vidogo kama hivi. Arusha nasikia ni balaa wiki hii.

Kama navyosema ni ile wiki ya pasaka imeongeza maambukizi na serikali kwa data ni mpaka mtu azidiwe au kufa. Yaani kondo sasa wanazika usiku wa manane
 
habari zinachelewa sana mfano rafiki yangu kajua anaumwa April 9 hivyo kapata siku kumi mpaka kumi na nne nyuma. ameenda hospitali tarehe 10 na vipimo vimechukua kama siku mbili mpaka kumfikia na kafariki jumapili 26 hivyo inaelekea inawza kuchukuwa hata mwezi mpaka mtu kapoteza maisha.

Vilevile nimesikitishwa sana na serikali kwa na hospitali kwa kukosa Oxygen tank. Ameenda nyumbani kwasababu hospitali hazina nafasi halafu akazidiwa nyumbani wakaanza kutafuta oxygen maana huu ugojwa unaweza kuhamia kwenye mapafu na kuleta limonia kali lakini masaa zaidi ya manne hakuna oxygen tank mpaka mtu anakufa. Hizi oxygen tank ambazo hata Tanzania tunaweza kutengeneza ingewezekana kabisa kama serikali waweze uwazi wa upungufu tutafute njia za kufanya maana bila hivyo hata wale wagojwa ambao wangeweza kupona wataanza kufa. Lakini serikali haisemi tunahitaji vifaa gani. Ktangaza pekee inasaidia nini kama hatuna hata matibabu. Yanni unaambiwa ukaugulie nyumbani.

Tukiwa wawazi hasa kwenye vifaa tutaokoa maisha ya watu serikali pekee haiwezi kufanya kila kitu lakini hata misaada tuombee basi. Hakuna wa kulaumiwa kwenye jambo kama hili lakini serikali wawe wawazi kwenye mapungufu ili watu tujue maana nimepata taarifa tena leo jamaa ambaye alikuwa anaishi hosuton,TX miaka 10 iliyopita akarudi amekufa leo na corona na yeye pia alikosa oxygen. Kama una mgojwa tafuta kila mbinu umtafutie oxygen tank hata kama hahitaji maana ikija inakuja ghafla sana huu ni ushauri.
 
Vifo vipi? Takwimu za vifo zinafichwa ili watu waone hamna Corona waache kujali then waanze kufa kimyakimya halafu wewe unasema ni vingi?!
 
Masikini ndugu wa Lowssa ni familia hesabu majeneza hapo familia moja na hii sio ajali
 

Attachments

  • D3028E09-B776-4BC1-8DE1-F315CCBBC392.jpeg
    D3028E09-B776-4BC1-8DE1-F315CCBBC392.jpeg
    37.2 KB · Views: 9
Wale walikuwa wanaona ni uzushi sasa wananielewa
 
Back
Top Bottom