macjay
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 371
- 409
Jamani kwanini serikali yetu inaficha Mambo Kama China Communist part ya shimpiing? Watu wanakufa hawatangazwi, wagonjwa wengi, hapa Dodoma Hospitali ya Benjanimi Kuna wagonjwa zaidi ya 15, na general Kuna wagonjwa zaidi ya 10, mpaka wataalamu wamesema msimlete Bibi yenu Tena huku Hali mbaya, Basi angalau watangaze tujue
Uandishi wako huwa unanikosha sana mkongwe.
Maadam majina ya hao 10 hayajatolewa, hivyo naomba tusianze udhalilishaji wa marehemu wa watu!. Please!.
Tanzania waliokufa kwa Corona ni 10 tuu!.
P
Kwenye Corona, tunatumia taarifa rasmi pekee. Kwa mujibu wa taarifa rasmi za vifo vya Corona kwa Tanzania is only 10!. Wengine wote waliofariki bila kipimwa, wamekufa kwa matatizo mengine, na hata kama ni Corona, bila kupimwa na kuthibitishwa kuwa ni Corona, inakuwa ni wamekufa kwa maradhi mengine!.
P
Msikilize Prof kutoka Tabora
Kwa hii komentiMwana familia pole sana. Watanzania tufike mahali tufahamu kwamba kazi ambayo JPM anaifanya ni kwa ajili ya Watanzania wote. Wakati wa JK misururu ilijaa kwenda India, ni kweli tumepiga hatua kubwa sana lakini bado tunahitaji kukaza kamba kwa sababu wapo wengi ambao wanapiga vita uimarishwaji wa huduma hapa Tanzania kwa sababu ya ubinafsi. JPM yeye kaonyesha njia Watanzania tuipende nchi yetu na tusijifanye hatufahamu yaliyotokea wakati wa Mzee rukhsa na BWM na JMK. Ni wakati wa kutetea rasilimali na kuona keki ya Taifa inawafaidisha Watanzania.
Just imagine AIDS, Ebola inatengenezwa ili tu kuua watu? Hata misaada tu wanaweka dawa kutumaliza then kuna vinguchiro vimo humu JF vinawatetea baada ya kulishwa peremende. Tuwe makini na tupiganie taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app