Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Tujiulize: Kwanini ghafla vifo vimekuwa vingi?

Kwaio unataka kusema kua kwa izi siku 3 sjui 4 apa bara hatujapata maambukizi mapya mkuu....... nataka kucheka lakini nashindwa kwa kua nipo najifukiza kwa tangawizi na limau
Maambukizi mapya huwa hasa yanatokea kama ugonjwa hauna tiba. Baada ya ugunduzi wa tiba ya Mh. Rais ya kuyeyusha futa kwa mvuke wa nyuzi 100, maambukizi yataongezekaje? Futa lenyewe kuliyeyusha ni tendo la dakika moja tu.

Tumemaliza maambujizi yote. Uhangaike na vipimo wakati unajua matibabu ni ya dakika 1? Ukihisi tu, vhukua maji chemsha, yeyusha futa. Tatizo kwisha. Sijui kwa nini Zanzibar hawataki kuotumia hii tiba ili wamalize hili tatizo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maambukizi mapya huwa hasa yanatokea kama ugonjwa hauna tiba. Baada ya ugunduzi wa tiba ya Mh. Rais ya kuyeyusha futa kwa mvuke wa nyuzi 100, maambukizi yataongezekaje? Futa lenyewe kuliyeyusha ni tendo la dakika moja tu.

Tumemaliza maambujizi yote. Uhangaike na vipimo wakati unajua matibabu ni ya dakika 1? Ukihisi tu, vhukua maji chemsha, yeyusha futa. Tatizo kwisha. Sijui kwa nini Zanzibar hawataki kuotumia hii tiba ili wamalize hili tatizo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
Tuendeleee kunawa mikono na kujifukiza tu
 
Bila Shaka kama mwandishi WA habari nguli kama usemavyo Wewe.. utakua unafahamau maana ya Investigative journalism,, hapa ndo mahala pake sasa ili uprove wrong au correct hizo statement za watu! ,,Sio umekaa nyuma ya keyboard Ku argue na watu ambao wanaonekana wamekosa matumaini wamekosa msaada,,,Kila kukicha shutuma za jamaa zao Kufa na kuzikwa na city zinazidi,,,TOKA MAFICHONI FATILIA HIZI HABARI KAMA MWANDISHI WA HABARI NGULI UJE NA EVIDENCE ZA KUPROVE WATU WRONG ,,,HAPO WATAKUA NA AMANI VINGINEVYO UTAONEKANA KASUKU ANAEKARIRI KILA NENO
Mkuu Mwana wa Mikaeli, sisi waandishi pia tume specialize, mimi japo nina uwezo wa kufanya Investigative Journalism kwenye hiyo issue ya vifo vya Corona, sifanyi kwasababu nime specilize na kuandika habari za kimaendeleo tuu, yaani nimejikita kwenye developmental journalism.
Waandishi wa healthy na medical journalism wapo, hayo ni maeneo yao.
P
 
Mkuu Kamundu, nakuomba please, tusitishane!. Tangu kuibuka kwa ugonjwa wa Corona, so far kwa Tanzania, kumetokea vifo 10 tuu ndio vya Corona, sasa hii habari ya vifo vingi, inatokea wapi?.

Kila lenye mwanzo lina mwisho, uhai upo umeumbwa na kifo pia kipo kimeumbwa, ile siku unazaliwa tayari kifo chako umeisha andikiwa, hivyo hata hao 10 waliokufa waliandikiwa, wakati huo huo vifo vingine vya magonjwa mengine vinaendelea daily na sio Corona!.

Kwa mujibu wa utoaji wa taarifa za Corona, taarifa zote rasmi zitatolewa na serikali pekee, hivyo hata akitokea mtu mwingine yoyote akafa kwa kuonyesha dalili zote za Corona, huyo atakuwa amekufa tuu kwa mengine na sio kwa Corona!.
Tanzania hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile 10!, sasa kwa idadi hiyo ukilinganisha na vifo vya Italy or US compared, kuna vifo vingi gani?. Mkuu Kamundu, Tusitishane jamani!.
P
Mkuu nahisi unataka uteuzi wewe!Ila ukwel unaujua kwenye nafsi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ambazo zinabadilika Kwa matakwa ya mkulu?.
Mkuu hahusiki, usimsingizie.
Ila pia kuna kitu kinaitwa news filter, kunapotokea habari mbaya mwendelezo, sio busara kutangaza kila kitu kila siku. Hivyo kuna uwezekano jana kuna watu walikufa na kuzikwa, leo pia watakufa na kuzikwa, halafu taarifa ikatolewa kesho.
P
 
Mkuu Kamundu, nakuomba please, tusitishane!. Tangu kuibuka kwa ugonjwa wa Corona, so far kwa Tanzania, kumetokea vifo 10 tuu ndio vya Corona, sasa hii habari ya vifo vingi, inatokea wapi?.

Kila lenye mwanzo lina mwisho, uhai upo umeumbwa na kifo pia kipo kimeumbwa, ile siku unazaliwa tayari kifo chako umeisha andikiwa, hivyo hata hao 10 waliokufa waliandikiwa, wakati huo huo vifo vingine vya magonjwa mengine vinaendelea daily na sio Corona!.

Kwa mujibu wa utoaji wa taarifa za Corona, taarifa zote rasmi zitatolewa na serikali pekee, hivyo hata akitokea mtu mwingine yoyote akafa kwa kuonyesha dalili zote za Corona, huyo atakuwa amekufa tuu kwa mengine na sio kwa Corona!.
Tanzania hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile 10!, sasa kwa idadi hiyo ukilinganisha na vifo vya Italy or US compared, kuna vifo vingi gani?. Mkuu Kamundu, Tusitishane jamani!.
P



Pascal wa kipindi maarufu KITIMOTO umekuwa kitibaridi..

umekuwa level za ki layman kama mimi nisiyejua exposure

ninayejiuliza why raia wanalalamika kuna wahanga huko kondo mara amana hospital na wengine wanalalamikia mlonganzila na sasa dodoma.!?

*basi uje hata na i'd fake;nakumbuka miaka ile namna ulivyowahenyesha kwa maswali wagombea ile 1995 -2000

sasa umekuwa mdebwedo;na tunazama wote ukumbuke!

pascal je? ni kweli huoni kama wale watu 2 waliokuwa wanatembea kwenda EMAU.? au akina petro
 
Maambukizi mapya huwa hasa yanatokea kama ugonjwa hauna tiba. Baada ya ugunduzi wa tiba ya Mh. Rais ya kuyeyusha futa kwa mvuke wa nyuzi 100, maambukizi yataongezekaje? Futa lenyewe kuliyeyusha ni tendo la dakika moja tu.

Tumemaliza maambujizi yote. Uhangaike na vipimo wakati unajua matibabu ni ya dakika 1? Ukihisi tu, vhukua maji chemsha, yeyusha futa. Tatizo kwisha. Sijui kwa nini Zanzibar hawataki kuotumia hii tiba ili wamalize hili tatizo!

Sent using Jamii Forums mobile app



Msikilize Prof kutoka Tabora​
 
Jamani watu ni lazima wafe tu ili na wengine wapate fursa wazaliwe. Mlitaka kuishi miaka mingapi hapa duniani wakati aliyepanga hamkuwa na miadi naye.
 
mimi binafsi sioni ubaya wowote mtu akifa kwa corona.
NI ugonjwa tu kama ukimwi,malaria,kansa,Ebola n.k.
kwa hyo atakayekufa tutamzika na maisha yanaendelea kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app



rekebisha hapo mkuu: iwe

..kwa hiyo tutakaokufa tutazikwa (na serikali) na maisha yataendelea kama kawaida
 
Mhhh angalia nje ya box ili utimize sifa ya kuitwa binadamu.
Kama hadi leo kupata kadi ya Nida ni shughuli pevu unategemea data za visa vya Corona zitapatikana kwa speed ya radi?
Kwakuwa tunapima watu wachache mno kwa siku ni wazi kuna idadi kubwa hatujui status yao.
Lakini tuna references nyingi kutoka kote dunia kuwa kadiri unavyofanya MASS TESTING,TRACING, TREATMENTS ndio unajua ukubwa wa tatizo na hatua zipi za kuchukuwa.
Tuseme tu takwimu za visa vya Corona tunategemea ziwe dynamic sio static, updates ziwepo ikibidi.
Pia katika press conference watoa taarifa wahojiwe ili kujenga imani kwa umma.
 
Mkuu hahusiki, usimsingizie.
Ila pia kuna kitu kinaitwa news filter, kunapotokea habari mbaya mwendelezo, sio busara kutangaza kila kitu kila siku. Hivyo kuna uwezekano jana kuna watu walikufa na kuzikwa, leo pia watakufa na kuzikwa, halafu taarifa ikatolewa kesho.
P
Nimembadilisha karibu mkuu!., walikua wanasoma idadi ya waliongezeka Tu wakati Nina taarifa waliopona ni Zaidi ya 100.. baada ya siku mbili ,,,waliopona 34 mambukizi mapya hakuna!.. kama hili hulioni Mzee wangu nazani haitasaidia Mimi kuendelea Ku argue ,,Wacha nikubaliane na wewe
 
Mwana familia pole sana. Watanzania tufike mahali tufahamu kwamba kazi ambayo JPM anaifanya ni kwa ajili ya Watanzania wote. Wakati wa JK misururu ilijaa kwenda India, ni kweli tumepiga hatua kubwa sana lakini bado tunahitaji kukaza kamba kwa sababu wapo wengi ambao wanapiga vita uimarishwaji wa huduma hapa Tanzania kwa sababu ya ubinafsi. JPM yeye kaonyesha njia Watanzania tuipende nchi yetu na tusijifanye hatufahamu yaliyotokea wakati wa Mzee rukhsa na BWM na JMK. Ni wakati wa kutetea rasilimali na kuona keki ya Taifa inawafaidisha Watanzania.

Just imagine AIDS, Ebola inatengenezwa ili tu kuua watu? Hata misaada tu wanaweka dawa kutumaliza then kuna vinguchiro vimo humu JF vinawatetea baada ya kulishwa peremende. Tuwe makini na tupiganie taifa letu.
 
Back
Top Bottom