Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Naomba kama unacho cha HOFU cha jembe willy gamba naomba ndg nicheki kwa 0712905393 hii namba plz
Mkuu unless unataka hard cover, ila story ya hofu imo humu Jf
Naomba kama unacho cha HOFU cha jembe willy gamba naomba ndg nicheki kwa 0712905393 hii namba plz
hiki ndio kitabu bora Tanzania Hakijapata Kutokea Mpaka Leo ``HOFU`` kimeandikwa na A.E.MUSIBA muhusika mkuu katika kitabu hiki anaitwa WILLY GAMBA,kilichapishwa 1988 ni kizuri sana kwa wale wanaokijua na kama hauna naweza kukupa ukitoe copy ukakisome maana hakipatikaniki
Mambo ya ajabu yaliyompata Allan Quterman na wenzake,,kuiendea nchi ya watu weupe.Bonge la kitabu japo kwa kiwango fulani kinamdhalilisha mwafrika
hiki ndio kitabu bora Tanzania Hakijapata Kutokea Mpaka Leo ``HOFU`` kimeandikwa na A.E.MUSIBA muhusika mkuu katika kitabu hiki anaitwa WILLY GAMBA,kilichapishwa 1988 ni kizuri sana kwa wale wanaokijua na kama hauna naweza kukupa ukitoe copy ukakisome maana hakipatikaniki
hiki ndio kitabu bora Tanzania Hakijapata Kutokea Mpaka Leo ``HOFU`` kimeandikwa na A.E.MUSIBA muhusika mkuu katika kitabu hiki anaitwa WILLY GAMBA,kilichapishwa 1988 ni kizuri sana kwa wale wanaokijua na kama hauna naweza kukupa ukitoe copy ukakisome maana hakipatikaniki
Kwakweli vilikuwa vizuri. Hakukuwapo haja ya television na social media.
Vilivuta hisia kiasi kwamba mtu hudhani ya kwamba tukio limetokea kweli.
Mtu ukiwa na kitabu kila akuitaye waona msumbufu akusumbua bureeee
vyangu nivikumbukavyo ni hivi
1. Mazungumzo ya alfu lela ulela
2. Kisiwa chenye hadhina
3. maajabu ya mlima kolelo
4. Jamaaa hodari kisiwani
5. Hekaya za Abunuwasi
5. Safari za juma MA Sungura
6. Tunguli ya Ajabu
7. Bulicheka
8. Mahugri mtoto aliye lelewa na nyani
9. Simba wa Tsavo
10.???
Njoooni hapa tukumbushane uzuri huuu ambao kizazi hiki kimeukosa
Karibuni
machimbo ya mfalme suleiman and ALLAN QUATERMAN by H RIDDER HAGGARD ni zaidi ya burudani
Nimetafuta Sana Kitabu Hiki Lakini Sijakipata. Mwenye Kujua Namna Ya Kukipata Tafadhali Tuwasiliane 0767320599
Umenikumbusha mzee ole,zumo,obi,ilikua balaa.
Naomba kama unacho cha HOFU cha jembe willy gamba naomba ndg nicheki kwa 0712905393 hii namba plz
Kitabu sidhani lakini movie utaipata,
Kama ni movie inapatakana wapi?
Mkuu sijawahi kusoma hofu hila nimesoma njama kikomo
kama upo dar nenda ile mitaa ya kariakoo wanapouza dvd za blue ray sijui mitaa gani, watakupa collection ya allan quarter main zote, allain quarter main and the city of gold,
Elistabulus Elvis Musiba ameandika; Njama, kikosi cha kisasi, Kikomo, Hofu n.k ni vitabu ukisoma utataka kurudia hata mara mia!