KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,557
- 1,927
hiki ndio kitabu bora Tanzania Hakijapata Kutokea Mpaka Leo ``HOFU`` kimeandikwa na A.E.MUSIBA muhusika mkuu katika kitabu hiki anaitwa WILLY GAMBA,kilichapishwa 1988 ni kizuri sana kwa wale wanaokijua na kama hauna naweza kukupa ukitoe copy ukakisome maana hakipatikaniki
Mkuu nipo Mwanza nina shida sana na kitabu hiki, nisaidie nakipataje?