Ladha za kale utunzi mahiri katika simulizi na hadithi

Ladha za kale utunzi mahiri katika simulizi na hadithi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
373,016
Reaction score
864,146
1.Tajiri wa Babeli(Tafsiri ya kitabu The richest man in it Babylon)
2. Mapenzi bora(ushairi wa Shaaban Robert)
3. Sanaa ya vita(Tafsiri ya kitabu The art of war)
4. Kiongozi(Tafsiri ya kitabu, The Prince cha Niccolo Machiavelli)
5. Shamba la wanyama(tafsiri ya kitabu The animal farm)
6. Bwana mdogo/Mwanamfalme mdogo(Tafsiri ya kitabu Le pettit prince cha Antoine de Sainte Exupery )
7. Nchi ya wasioona(Tafsiri ya kitabu The country of the blind)
8. Ifahamu pombe
9. Kisiwa chenye hazina
10. Simba wa Tsavo
11. Mashimo ya Mfalme Sulemani
12. Hadithi ya Allan Quartermain(Umslopogazi)
13. Nalutuesha
14. Kusadikika(Shaaban Robert)
15. Kufikirika(Shaaban Robert)
16. Adili na nduguze(Shaaban Robert)
17. Maisha yangu na baada ya miaka 50(Shaaban Robert)
18. Hekaya za Abunuwasi na hadithi nyingine Tsh
19. Alfu lela ulela toleo la 2
20. Alfu lela ulela toleo la 3
21. Alfu lela ulela toleo la 4
22. Wasifu wa Siti binti Saad(Shaaban Robert)
23. Nyayo za mwendo wa binadamu
24. Robinson Kruso na kisiwa chake
25. Elisi katika nchi ya ajabu
26. Hekaya za waswahili kama zilivyosimuliwa na wazawa wa Zanzibar.
27. Lulu(Tafsiri ya kitabu The pearl chake john Steinbeck)
28. Theluji ya Kilimanjaro(Tafsiri ya kitabu, The Snows of Kilimanjaro chake Ernest Hemingway)
29. Safari ya Bulicheka na mkewe
30. Someni kwa furaha kitabu cha
31. Hadithi za Esopo
32. Someni kwa furaha kitabu cha
33. Vazi jipya la mfalme
34. Kisa cha sungura aliyeitwa Petro
35. Elimu dya kujitegemea(Chake JK Nyerere),
36. Julius Kaizari. J.K. Nyerere(Tafsiri ya kitabu Julius Caesar chake Shakespeare)
37. Kinjekitile.
38. Tujisahihishe(J.K. Nyerere)
39. Mlango wa historia
40. Nunda mla watu
41. Masimulizi ya Mamboleo
42. Ilani ya ukomunisti( Tafsiri ya The communist manifesto cha Karl Marx and Friedrich Engels)
43. Visa na hadithi,
44. Chuo cha ustaarabu
45. Mtu aliyepanda miti(Tafsiri ya kitabu The man who planted trees)
46. Jinsi ya kupata marafiki na kushawishi watu(kitabu cha kwanza cha Tafsiri ya kitabu How to win friends and influence people)
47. Safari za Wasuaheli
48. Harakati za kitabaka katika Africa(Kwame Nkrumah)
49. Azimio la Arusha.
50. Desturi za wachagga
51. Unyonge wa Mwafrika
52. Maisha ya Mathias Mnyampala
53. Ugogo na ardhi yake
FB_IMG_1677300022021.jpg
FB_IMG_1677300025628.jpg
 
Mshana kuna kitabu nakitafuta tulikitumia shule kama kiada ndani mwake kuna stories kwa mfano kijana beach boy aliokota kiberiti kina hela akampelekea bibi yake, kuna stori inaitwa safari binti alisafiri anasimulia alimtembelea shangazi yake sijui Lindi au MTWARA anasema alikuwa akiona miti inarudi nyuma njiani alipanda mpk garimoshi,unakijua hiko kitabu cha kiswahili kati ya la Pili au la tatu au la nne
 
Mshana kuna kitabu nakitafuta tulikitumia shule kama kiada ndani mwake kuna stories kwa mfano kijana beach boy aliokota kiberiti kina hela akampelekea bibi yake, kuna stori inaitwa safari binti alisafiri anasimulia alimtembelea shangazi yake sijui Lindi au MTWARA anasema alikuwa akiona miti inarudi nyuma njiani alipanda mpk garimoshi,unakijua hiko kitabu cha kiswahili kati ya la Pili au la tatu au la nne
Ngoja takutafutia
 
1.Tajiri wa Babeli(Tafsiri ya kitabu The richest man in it Babylon)
2. Mapenzi bora(ushairi wa Shaaban Robert)
3. Sanaa ya vita(Tafsiri ya kitabu The art of war)
4. Kiongozi(Tafsiri ya kitabu, The Prince cha Niccolo Machiavelli)
5. Shamba la wanyama(tafsiri ya kitabu The animal farm)
6. Bwana mdogo/Mwanamfalme mdogo(Tafsiri ya kitabu Le pettit prince cha Antoine de Sainte Exupery )
7. Nchi ya wasioona(Tafsiri ya kitabu The country of the blind)
8. Ifahamu pombe
9. Kisiwa chenye hazina
10. Simba wa Tsavo
11. Mashimo ya Mfalme Sulemani
12. Hadithi ya Allan Quartermain(Umslopogazi)
13. Nalutuesha
14. Kusadikika(Shaaban Robert)
15. Kufikirika(Shaaban Robert)
16. Adili na nduguze(Shaaban Robert)
17. Maisha yangu na baada ya miaka 50(Shaaban Robert)
18. Hekaya za Abunuwasi na hadithi nyingine Tsh
19. Alfu lela ulela toleo la 2
20. Alfu lela ulela toleo la 3
21. Alfu lela ulela toleo la 4
22. Wasifu wa Siti binti Saad(Shaaban Robert)
23. Nyayo za mwendo wa binadamu
24. Robinson Kruso na kisiwa chake
25. Elisi katika nchi ya ajabu
26. Hekaya za waswahili kama zilivyosimuliwa na wazawa wa Zanzibar.
27. Lulu(Tafsiri ya kitabu The pearl chake john Steinbeck)
28. Theluji ya Kilimanjaro(Tafsiri ya kitabu, The Snows of Kilimanjaro chake Ernest Hemingway)
29. Safari ya Bulicheka na mkewe
30. Someni kwa furaha kitabu cha
31. Hadithi za Esopo
32. Someni kwa furaha kitabu cha
33. Vazi jipya la mfalme
34. Kisa cha sungura aliyeitwa Petro
35. Elimu dya kujitegemea(Chake JK Nyerere),
36. Julius Kaizari. J.K. Nyerere(Tafsiri ya kitabu Julius Caesar chake Shakespeare)
37. Kinjekitile.
38. Tujisahihishe(J.K. Nyerere)
39. Mlango wa historia
40. Nunda mla watu
41. Masimulizi ya Mamboleo
42. Ilani ya ukomunisti( Tafsiri ya The communist manifesto cha Karl Marx and Friedrich Engels)
43. Visa na hadithi,
44. Chuo cha ustaarabu
45. Mtu aliyepanda miti(Tafsiri ya kitabu The man who planted trees)
46. Jinsi ya kupata marafiki na kushawishi watu(kitabu cha kwanza cha Tafsiri ya kitabu How to win friends and influence people)
47. Safari za Wasuaheli
48. Harakati za kitabaka katika Africa(Kwame Nkrumah)
49. Azimio la Arusha.
50. Desturi za wachagga
51. Unyonge wa Mwafrika
52. Maisha ya Mathias Mnyampala
53. Ugogo na ardhi yakeView attachment 2529198View attachment 2529199
Hiyo Adili na Nduguze bonge la Story. Nilimuombaga Bujibuji Simba Nyamaume alete iyo story kwa kiswahili jamvin baada ya Alibaba aliyoleta akala kona. Buji amezidi kutukera kwa kubadilisha avatar picha yake tuliyomzoe. Airudishe mara moja.
 
Back
Top Bottom