Tujikumbushe vitabu vya zamani

Tujikumbushe vitabu vya zamani

Mkoa :::::::::::::::::::::::::kwa mkoa:::::::::::::::::::::::::::::
 
Natumaini mu-wazima

Ni wangapi wanakumbuka kitabu cha Rosa Mistika kilichoandikwa na Kezilahabi na My Life in Crime na mwendelezo wake My Life with a Criminal hiki kilihusu jambazi aliyebobea katika wizi wa Mabank huko Nairobi.
 
Natumaini mu-wazima

Ni wangapi wanakumbuka au walisoma kitabu cha Rosa Mistika, mdada wa ki-Sukuma alichaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu. Kitabu hiki kilikuwa cha kusisimu sana. Kitabu kingine ninakumbuka kukisoma kiliandikwa na m-Kenya ambae sikumbuki jina lake kiliitwa "My life with as a Criminal" hiki kilikuwa juu ya jambazi maarufu Nairobi akieleza maisha yake kama jambazi. Alitunga cha pili kiliitwa "My life with a Criminal" ambacho ilikuwa mke wa jamaa anaelezea maisha ya kuishi na mume jambazi.

My dear bottle
Unfit for human consumption
By David Maillu
 
Natumaini mu-wazima

Ni wangapi wanakumbuka au walisoma kitabu cha Rosa Mistika, mdada wa ki-Sukuma alichaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu. Kitabu hiki kilikuwa cha kusisimu sana. Kitabu kingine ninakumbuka kukisoma kiliandikwa na m-Kenya ambae sikumbuki jina lake kiliitwa "My life with as a Criminal" hiki kilikuwa juu ya jambazi maarufu Nairobi akieleza maisha yake kama jambazi. Alitunga cha pili kiliitwa "My life with a Criminal" ambacho ilikuwa mke wa jamaa anaelezea maisha ya kuishi na mume jambazi.
Njama-Aristablus Elvis Musiba.
Tutarudi na roho zetu?.-Ben R Mtobwa.
Kaptula la Marx-Euphrase Kezilahabi.
 
Mimi nilisoma bulicheka na lizabeta,walivopotea baharini
Nilikisoma hiki kitabu, ninakumbuka ndiyo nilikuwa ninajifunza kusoma, wakubwa walikuwa nacho nyumbani basi mpaka leo ninakumbuka Wagagagigigogo walivyopika chakula kumkaribisha Bulicheka na mkewe Eliza na kumwomba awe mfalme wao.
 
Natumaini mu-wazima

Ni wangapi wanakumbuka au walisoma kitabu cha Rosa Mistika, mdada wa ki-Sukuma alichaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu. Kitabu hiki kilikuwa cha kusisimu sana. Kitabu kingine ninakumbuka kukisoma kiliandikwa na m-Kenya ambae sikumbuki jina lake kiliitwa "My life with as a Criminal" hiki kilikuwa juu ya jambazi maarufu Nairobi akieleza maisha yake kama jambazi. Alitunga cha pili kiliitwa "My life with a Criminal" ambacho ilikuwa mke wa jamaa anaelezea maisha ya kuishi na mume jambazi.
Mwaka gani?
 
Ama zao Ama zangu, Kikosi cha Kisasi na vile vitabu vya Hamie Rajabu unavikumbuka?
Yes My Mama!!

Nakikumbuka hiki,Hiba ya wivu-kilikuwa na simulizi ya kuvutia kuhusu mapenzi.
Wahusika wakuu wakiwa ni Faridah, Ihucha, Uncle Musa n.k. Eneo lililotajwa mara nyingi lilikuwa ni Mwenge na maeneo mengine ya jiji la Bandari ya salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom