Hikma
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 497
- 415
Kuna hii hadithi;
USIKU WA BALAA
Nilikua kadogo hata la kwanza sijaanza ila najua kusoma, basi kitabu hiki kilikua moja ya kipenzi.
Tatizo nilikua nakisoma jioni baada ya kutoka madrasa, baada ya hapo giza likiingia ni kujitisha tu hasa ile picha ya mtu aliyekatwa kichwa.
Vitabu ni hazina kubwa sana.
Nimejaaliwa kusoma 95% ya vitabu vilivyotajwa humu.
Hivi sasa naendelea kuvikusanya hivi na nimevipata vya kutosha tu.
Vya musiba ndio tabu kuvpata.
USIKU WA BALAA
Nilikua kadogo hata la kwanza sijaanza ila najua kusoma, basi kitabu hiki kilikua moja ya kipenzi.
Tatizo nilikua nakisoma jioni baada ya kutoka madrasa, baada ya hapo giza likiingia ni kujitisha tu hasa ile picha ya mtu aliyekatwa kichwa.
Vitabu ni hazina kubwa sana.
Nimejaaliwa kusoma 95% ya vitabu vilivyotajwa humu.
Hivi sasa naendelea kuvikusanya hivi na nimevipata vya kutosha tu.
Vya musiba ndio tabu kuvpata.