Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
ni kweli magari yanaturahisishia shughuli zetu ila na maumbo yetu tuyatatendee haki!nimepishana na raia mmoja mwenye umbo mithili ya kapteni john komba ndani ya duet!!!dah......huu ni ubakaji wa magari!