Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,991
Ndugu Mtapishi kama uko Dar Njoo upande wa mbweni uone magofu ambayo hayajakamilika uone yamefungia Hela kiasi gani. Imagine watu wanachukua mikopo ya Nyumba 200 to500m unajenga Nyumba then maisha yako yote unalipia loan huna biashara. Mwajiriwa ukistaafi wanakuja Hadi PensionSijasoma matapishi yako yote hila ebu nikupe maarifa! Mwenyenyumba ataendelea kuwa juu sana kuliko mpangaji hata kama unamzidi kipato!