Tujadili uwepo wa idadi kubwa ya wenye nyumba ambao ni maskini hapa Tanzania hasa jijini Dar

Sijasoma matapishi yako yote hila ebu nikupe maarifa! Mwenyenyumba ataendelea kuwa juu sana kuliko mpangaji hata kama unamzidi kipato!
Ndugu Mtapishi kama uko Dar Njoo upande wa mbweni uone magofu ambayo hayajakamilika uone yamefungia Hela kiasi gani. Imagine watu wanachukua mikopo ya Nyumba 200 to500m unajenga Nyumba then maisha yako yote unalipia loan huna biashara. Mwajiriwa ukistaafi wanakuja Hadi Pension
 
Ndugu Mtapishi kama uko Dar Njoo upande wa mbweni uone magofu ambayo hayajakamilika uone yamefungia Hela kiasi gani. Imagine watu wanachukua mikopo ya Nyumba 200 to500m unajenga Nyumba then maisha yako yote unalipia loan huna biashara. Mwajiriwa ukistaafi wanakuja Hadi Pension
Uko sahihi wamezika mitaji ya hela ndefu.
 
Back
Top Bottom