Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

Hivi sosoliso unafikiri nitathubutu basi ?wakati plan b yake ya sasa hivi anamtaka Paloma wako?
Kaunga hivi unajua mtu anajisikiaje akijua kuwa kafanywa plan B!? Nahisi kama ina disturb sana!
Lakini pia kama kuna wengine wanaokubali kufanywa plan B ?(je ni mapenzi au ubwege?)
 
Last edited by a moderator:
Kaunga hivi unajua mtu anajisikiaje akijua kuwa kafanywa plan B!? Nahisi kama ina disturb sana!
Lakini pia kama kuna wengine wanaokubali kufanywa plan B ?(je ni mapenzi au ubwege?)

Bwana being plan B sucks hasa ukigundua; ila hao wanaokubali nafikiri wengine si mapenzi wala ubwege wanaweza wakawa na ill intentions zingine (wakugegede and then uingie kwenye orodha ya wadada aliowagegeda) so si nzuri kwa afya ya dignity yako kuwa na mpango wa kando.
 
Maisha magumu sana, hasa ya kimapenzi
Unaweza kuwa profesa bila kwenda shule
 
Mimi kwa maadili yangu ya dini ni ngumu kuwa na plan b..Lakn nikiona mahusiano hayana future huwa ni bora kuvunja then kuanza upya..Plan B ni nzuri kwa wanaoweza kudanganya..Inahitaji kipaji kwa kweli lasivyo utakosa yote.
 
Unapofanya jambo kwa sababu dhaifu utapata matokeo hasi
'
Unapokua mwaminifu na kuacha kuwa na plan B ili uolewe itakusumbua tu
'
Itakusumbua kwa kuwa sababu iliyokufanya usiwe na plan B ni dhaifu,unatakiwa usiwe na plan B kwa kuwa ni ubinadamu na ni utu
'
Unapotarajia uzawadiwe na mtu kwa kuwa mwaminifu halafu asikuzawadie lazima utakua disapoint tu,hiki ndicho kilichokupata Kaunga
'
Unapofanya jambo,fanya kwa kuwa umeamua na ujisimamie mwenyewe bila kumtegemea mtu akupongeze!
 
Last edited by a moderator:
Unapofanya jambo kwa sababu dhaifu utapata matokeo hasi
'
Unapokua mwaminifu na kuacha kuwa na plan B ili uolewe itakusumbua tu
'
Itakusumbua kwa kuwa sababu iliyokufanya usiwe na plan B ni dhaifu,unatakiwa usiwe na plan B kwa kuwa ni ubinadamu na ni utu
'
Unapotarajia uzawadiwe na mtu kwa kuwa mwaminifu halafu asikuzawadie lazima utakua disapoint tu,hiki ndicho kilichokupata Kaunga
'
Unapofanya jambo,fanya kwa kuwa umeamua na ujisimamie mwenyewe bila kumtegemea mtu akupongeze!

I get your point Eiyer na honestly naikubali kabisa; lakini sijaelewa unaposema ndicho kilichonipata. nini kilichonipata? The thread is not about me, and you dont know me!
 
Maisha magumu sana, hasa ya kimapenzi
Unaweza kuwa profesa bila kwenda shule

umeona eeh, kila unapofikiria unalielewa hili ndipo unapogundua kuwa 99 huyaelewi au hata hilo 1 umeelewa ndivyo sivyo.
 
Sidhani kama plan B ni sahihi katika mahusiano but mtu anapokutokea wakati una mtu mwingine ni vizuri kumweleza ukweli kuwa nina mchumba but pia kumweleza process mliofikia.Kama kashajitambulisha au yupo karibu kwenda kujitambulisha au bado mnasomana alama za nyakati au haeleweki.Hii itakufanya kumpa mtu uhuru wa kuchagua nyie wawili kuwa marafiki au kukata mawasiliano kabisa.Wengine wanakubali muwe marafiki huku ukiwa na jamaa then jamaa akikutema wao wanawahi fasta as if walikuwa wanamwomba Mungu huyo jamaa akuache na unajikuta mna couple vibaya sana mpaka umajiuliza hubby kwa nini sikukujua wewe siku zote hizo.Na hawa kaka zetu kama alikuwa anakutolewa jicho siku nyingi halafu akakuta una mtu then mkaachana unapata ma care ya ajabu ili usije badili mawazo.
 
Achilia mbali kuwa na plan B tu, sasa hivi inabdi uwe mpaka na plan Z. Mimi nina mpaka plan Z...

na huu ndio ukweli mtamu/mchungu wenyewe, maisha ndio kama hivi, nina mdogo wangu mtoto wa mama mdogo nadhani yeye anaenda mpaka Z na kurudia A-Z tena, kuna siku nikamuuliza hivi unawezaje kuwa handle hawa binadamu jamani na kwanini unafanya haya, aliniambia" sister acha unafiki, ina maana kuna ugumu gani hapa, kwani kuna alieweka pete kidoleni? basi na nitakaemwambia leo siwezi kukuona na anitii".....
 
I use to jiamini sana you know; lakini ulikuja kunidiss mwisho wa siku. Huoni our online love case ndio inayofanyika in real life?

Dear,Hiki ndicho nilichomaanisha kimekupata,umenipata sasa!
 
Dear,Hiki ndicho nilichomaanisha kimekupata,umenipata sasa!

Okay, if that is the case twende na scenario hiyo hiyo halafu uoneshe jinsi gani uaminifu wangu ulikuwa ili unioe na si kwasababu siamini katika mapenzi ya watu wengi. Maana kwa case yetu, niliamua kujitoa baada ya kuona wewe unammendea Paloma.
 
Last edited by a moderator:
Cheka uongeze siku mwaya "Backup" muhimu mpendwa.

Hata ukiwa na computer yako si unafanya backup si ndio?

Imagine computer yote incrash na huna hata pa kuanzia unafanyaje sasa?

Hivi nini kitatokea mwenzako akija kujua kua ulikua na plan b.
 
Okay, if that is the case twende na scenario hiyo hiyo halafu uoneshe jinsi gani uaminifu wangu ulikuwa ili unioe na si kwasababu siamini katika mapenzi ya watu wengi. Maana kwa case yetu, niliamua kujitoa baada ya kuona wewe unammendea Paloma.

Naogopa kuutumia mfano wa masikhara kwenye mambo siriaz
Kama ingekua siriaz ingekua ni mfano hai,ndo maana umesema online love!
 
Last edited by a moderator:
Okay, if that is the case twende na scenario hiyo hiyo halafu uoneshe jinsi gani uaminifu wangu ulikuwa ili unioe na si kwasababu siamini katika mapenzi ya watu wengi. Maana kwa case yetu, niliamua kujitoa baada ya kuona wewe unammendea Paloma.

and i refused to be made a plan B..............wewe Eiyer weweeee...................
 
Last edited by a moderator:
hahaha dunia ya leo kama maigizo sometimes matukio inakuwa vigumu kuamini lakini ndipo human race ilipofikia. Ila na huyo jamaa noma lakini namuonea huruma aliyemuoa maana atakuwa kamuoa si kwa kupenda bali kuficha aibu ambayo ingempata. Haa sasa we wadhani nitabaki naugulia mpaka lini.
kuna msemo unasema when life F*** you keep on moving otherwise it will keep on F*** you until you find yourself enjoying it and you will never move on.

Na mimi sitaki endelea kuwa mtu wa majozi I am moving on with plan B, C, D

inawezekana pia wakawa na ndoa ya amani/raha tele kwani plan B huwa zinatofauti kidunchu sana na plan A, vimeo vinaanzia plan D kuendelea.
 
Back
Top Bottom