Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

Tujadili: Pre-ndoa... Plan B aka 'BIMA'

and i refused to be made a plan B..............wewe Eiyer weweeee...................

Naogopa kuichakachua hii thread ni muhimu!
But don't 4get how i love u!
 
Last edited by a moderator:
Aisee, yaani vikao haviahirishwi ila jina la muolewaji tu ndilo linabadilika. Kazi kweli kweli! Na huyo mdada plan B alijisikiaje?????

Kaunga, anajisikia furaha/amani tele, hajui kilichokuwa kinaendelea, mwenye hizo plan ni mwanaume yeye hayamuhusu zaidi ya kushukuru chereko chereko imewadia kwa upande wake, na ujue hizi plan B nazo ni za muda mrefu tu, huyu mdogo wa friend wangu yeye plan B yake ilikuwa kabla hata ya huyo plan A, sema plan A ilivyojitokeza B ikawekwa pending kidogo , A ilivyoleta magumashi B ikarudishwa rodini kwa speed zoteee!
 
sijawahi kuwa muumini wa hii dini ya plan B,siwezi toa experience lakini nafikiri ni tamaa tu.na kujishusha thamani.mtu mwenye wanaume/wanawake wawili watatu huwa namdharau sana

That's my shem...:A S-heart-2:
Cc: Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Kaunga hivi unajua mtu anajisikiaje akijua kuwa kafanywa plan B!? Nahisi kama ina disturb sana!
Lakini pia kama kuna wengine wanaokubali kufanywa plan B ?(je ni mapenzi au ubwege?)

katika plan B zote ninazozifahamu, zinaheshiwa sana na wahusika, si A ikitereza B ndio mke, sasa ataidharau vipi? tatizo kwao linakuja kutokea plan A mambo yakienda shwari, wanakujaga kupata uchizi wakija kujua/sikia jamaa anatangaza ndoa nakushangaa imekuwaje kuwaje, maswali kibao bila majibu ndipo anapokuja kujua alikuwa plan B, hawa ndio wale wanaishi na visasi vya mapenzi kwa muda mrefu mioyoni mwao, coz waliowaamini na kuwaachia nafsi zao wamewatenda bila wao kujijua.
 
Back
Top Bottom