Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

kwa mujibu wa Mh katibu mkuu sio suala la kugombea uraisi ila anataka kumkwamisha mh raisi, ova
 
Katika jambo ambalo unashindwa katika hoja zako ni kuficha hisia dhidi ya adui yako , wewe na membe ni sawa kabisa katika hilo

Watanzania walio wengi wameanza kujua hujuma za membe (Japo ni tuhuma) toka kwa Musiba , na kupitia Musiba huyo ndio Dr Bashiru kamuita Membe

Kiufupi ,Musiba ana taarifa sahihi kabisa kuliko wewe na Musiba ni whistleblower tu , wanaomtuma wameanza kujitokeza na wameshajulikana

Hayo mengine ni porojo tu
Mkuu naomba kama kuna link juu ya tuhuma hizo alizozitoa Musiba ili nijisomee
Nalog off
 
A LETHAL PERSON can smell out a person's strenghts and weaknesses in a matter of minutes, but what they can sense most of all, what their bodies are most attuned to, is the scent of fear. I would categorize Benard Membe as one of them.[emoji53]

There is alot of "tension & fear" in the ATMOSPHERE at the moment (LUMUMBA), in time they will reach out a final verdict.[emoji18]

Yajayo 2019/2020 yatafurahisha sana.
.lissu alisema akimalizana na sisi anakuja kwenu, naona anaingia sasa rasmi ndani ya CCM
 
Ni kweli mkuu unachosema lkn sijasema umri peke yake ndo uwe kigezo kikubwa nimeweka na vingine na umri pia kwa maana ya kubeba dhana mpya ktk changamoto za kisasa
Umri haubebi dhana yoyote mpya katika uongozi, tumeshuhudia marais wenye umri mkubwa lakini wana hekima na uwezo wa kuongoza na wanamaono. Pia tumeshuhudia marais wenye umri mkubwa ila hawana hekima wala busara za uongozi na the same applies kwa marais vijana. Nenda Malaysia au india viongozi wao wote ni wa umri mkubwa ila wanafanya kazi nzuri sana tu.
 
Waliomtuliza Lowasa ni magentleman hawa wa sasa ni very rough
For your info, ni same gentlemen are in control, huyo membe ni upepo upitao tu.
Jabali kama Lowasa kafukiwa, membe usijidanganye mkuu.
 
Kumkataa au kumpinga Magufuli 2020 ni kuwa wakala wa wanyang'anyi. Bado watanzania tunamuhitaji Magufuli kwa miaka mingine 10 ijayo ndio tuanze kufikiria wa kumrithi.
 
Ndugu yangu wee kwanini unapenda kujidanganya hivi? Asivuke kwa nini? (nimesoma mawazo yako ndiyo maana nimeuliza hivi). Kuna tishio kuliko lile la Lowassa 2015? Kama alitulizwa kama tui la nazi ni nini kitakachofanya hata wamwogope Membe kiasi cha kutaka kumwondoa?
Kwa Lowassa ilikua so suddenly mkuu , mpia mshika mpini hakuwa kichaa.

Ebu tumia ubongo kufikiria basi.
 
Chahali katika ubora wako wa kusaka cheo,ulimsakama Makungu wa watu mpaka kapelekwa TBR,hukupata ulichotaka sasa umemgeukia Kipilimba wa watu.we ni mchonganishi uliye tayari kusakizia hata uwongo ili tu upate utakacho.Mungu hapendi
 
One last thing, kuna vita kubwa inaendelea chinichini ndani ya CCM katika harakati za kumpata "mrithi wa Jiwe" 2020.

Mengine yote saba nane, hili tu ndilo la muhimu kwa Tanzania sasa. Kama huko CCM wanaweza, wafanye ili nchi ipumue.

Kama ni Membe aliyeandika ujumbe niliosoma mahala humu JF, tegemeo letu kwake litakuwa dogo sana. Natumai siyo mwandishi wa hiyo iliyoitwa "Membe ALONGA----?"
 
Membe na mwingine yoyote Ana haki ya kujipanga au kujiandaa kwa kama anaitaji kugombea

Miaka yote iko hivyo na itaendelea Kuwa hivyo so Membe yuko on the right truck
Hii haifanani na ile nyingine, Katiba ya nchi na sheria zake, ambapo zinazoonekana hazifai zinawekwa pembeni kwa matakwa na amri ya mtu mmoja?
Huko CCM wanalo jeshi na polisi litakalohakikisha matakwa yao yanakuwa kama wanavyopenda, kwa matakwa ya katiba yao?
Kama hawana vyombo hivyo, basi usibishe, kubali na yaishe. Twenty-Twenty, hakuna lolote jipya.
 
Hii haifanani na ile nyingine, Katiba ya nchi na sheria zake, ambapo zinazoonekana hazifai zinawekwa pembeni kwa matakwa na amri ya mtu mmoja?
Huko CCM wanalo jeshi na polisi litakalohakikisha matakwa yao yanakuwa kama wanavyopenda, kwa matakwa ya katiba yao?
Kama hawana vyombo hivyo, basi usibishe, kubali na yaishe. Twenty-Twenty, hakuna lolote jipya.

Hakuna jipya kwa maana Rais magufuli atagombea ila haikatazi mwenye nia mwingine kuonesha interest yake kama anaitaji hiyo nafasi
 
Sasa ndo nimeweza kuzielewa politics za bongo. Kwa muktadha huu once a President always a President until no more terms of Presidency. Anything contrary to that count it a treason! Poor Tanzoro!
 
.
One last thing, kuna vita kubwa inaendelea chinichini ndani ya CCM katika harakati za kumpata "mrithi wa Jiwe" 2020.
Mkuu Chahali, asante kwa hii kitu, ulianza vizuri kwa hoja zako, ila hapo mwishoni kwenye last thing kuhusu kinachoendelea ndani ya CCM, ukaharibu.

Japo ni rukhsa kudhania jambo lolote, lakini kwa mtu kwa mtu wa calibre yako kudhani hivyo ni too low for you. Hakuna harakati zozote za kumtafuta mrithi wa JPM, 2020 kwa sababu CCM tayari ina utaratibu wake wa ndani kuwa rais aliyepo haruhusiwi kupingwa, kabla hajakamilisha kipindi chake cha miaka 10. Hivyo hakuna fomu zozote za urais zitatolewa kwa mgombea mwingine yoyote, hivyo hakuna kitu kama hicho.
P
 
Back
Top Bottom