Tufunge na kuomba kufukuza pepo la mikopo linalowatesa kina mama, dada, wake, shangazi na wanawake wangine wengi

Tufunge na kuomba kufukuza pepo la mikopo linalowatesa kina mama, dada, wake, shangazi na wanawake wangine wengi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
19,294
Reaction score
39,977
Kina mama mna tatizo gani aisee? Mikopo.. mikopo.. mikopo. Kuna case kadhaa za kina mama kujiua kwa sababu ya kuzidiwa mikopo. Kuna cases za ndoa kuvunjika pia. Wanawake wengi mnakopa sana bila kufikiria mara mbili. Hali ni mbaya sana. Mitandaoni nimeona watu wengi wakilalamika kuona mama zao wana mikopo inayowazidi kiasi kwamba inabidi waingilie kati kuwanusuru.

Sababu kubwa inayowafanya wanawake kuchukua mikopo ni kuzidiwa na hisia na matamanio yao. Utakuta kaona mwenzake anafanya biashara fulani na yeye hukimbilia kuiga na kuishia kuangua kilio. Lakini sababu kubwa sana kwa sasa ni hivi VIKUNDI VYAO VYA KUKOPA NA KUWEKA wenyewe wanaita michezo. Utakuta mtu kajiingiza kwenye kikundi cha kuweka labda 10k kila siku huku hana kipato cha kutosha. Ninadhani mmeshawahi kukutana na wanawake wanaoomba walipiwe hela za mchezo.

Wachungaji na manabii wa uongo kama Tony, Mwakasege na Mwamposa pia ni sababu nyingine za wanawake kujikuta kwenye madeni. Wanawake wengi wako tayari kukopa na kwenda kumpa mchungaji wake hiyo pesa. Yaani ujinga mtupu.

Kimsingi wanawake wengi kwa sasa wanasumbuliwa na madeni. Wanateseka mno. Kina mama wengi wamekuwa mizigo kwa watoto wao kisa madeni wanayotakiwa kulipa. Waume zao pia wamekuwa wahanga wa hii mikopo. Athari ni kubwa. Ninawasihi wanawake wote mfikiri mara mbilimbili kabla ya kukimbilia kuchukua mikopo.
 
Unafukuza liende wapi unajua lilivyoingia?
Wanawake wapenda mikopo kuliwa upande wowote ni sekunde ili mradi apate mrejesho
Kuliwa na afisa mikopo au meneja wa ofisi ya mikopo ni fasta hata chooni huwa wanaliwa
Waombe wenyewe hata ukiwaombea maombi hayafanya kazi
 
hapa mtaani kuna mmama anapelekewa moto na vitoto vya kuzaa kisa kausha damu, nilishangaa sana kuambiwa mkopo una riba ya 30%, tena hauna timeframe, kuna mzee alikopa 200k tzs, alilipa riba mpaka ikafika 1800k, mpaka mkopeshaji akamwambia basi imetosha mzee.
 
Kina mama mna tatizo gani aisee? Mikopo.. mikopo.. mikopo. Kuna case kadhaa za kina mama kujiua kwa sababu ya kuzidiwa mikopo. Kuna cases za ndoa kuvunjika pia. Wanawake wengi mnakopa sana bila kufikiria mara mbili. Hali ni mbaya sana. Mitandaoni nimeona watu wengi wakilalamika kuona mama zao wana mikopo inayowazidi kiasi kwamba inabidi waingilie kati kuwanusuru.

Sababu kubwa inayowafanya wanawake kuchukua mikopo ni kuzidiwa na hisia na matamanio yao. Utakuta kaona mwenzake anafanya biashara fulani na yeye hukimbilia kuiga na kuishia kuangua kilio. Lakini sababu kubwa sana kwa sasa ni hivi VIKUNDI VYAO VYA KUKOPA NA KUWEKA wenyewe wanaita michezo. Utakuta mtu kajiingiza kwenye kikundi cha kuweka labda 10k kila siku huku hana kipato cha kutosha. Ninadhani mmeshawahi kukutana na wanawake wanaoomba walipiwe hela za mchezo.

Wachungaji na manabii wa uongo kama Tony, Mwakasege na Mwamposa pia ni sababu nyingine za wanawake kujikuta kwenye madeni. Wanawake wengi wako tayari kukopa na kwenda kumpa mchungaji wake hiyo pesa. Yaani ujinga mtupu.

Kimsingi wanawake wengi kwa sasa wanasumbuliwa na madeni. Wanateseka mno. Kina mama wengi wamekuwa mizigo kwa watoto wao kisa madeni wanayotakiwa kulipa. Waume zao pia wamekuwa wahanga wa hii mikopo. Athari ni kubwa. Ninawasihi wanawake wote mfikiri mara mbilimbili kabla ya kukimbilia kuchukua mikopo.
Mkuu serikali si ilitangaza mikopo kwa kina mama kwa kila halmashauri?

Jaribu kuwapigania iongezwe kiwango
 
Hili jambo hili halihitaji maombi ya Mungu hili jambo lipo kwenye uwezo wa UFAHAMU wa kawaida tu kwenye matumizi sahihi ya akili.......

Mwanadamu mwenye utimilifu wa akili hutafakari kabla ya kuchukua hatua.......
 
Kukopakopa ni mentality ya kimasikini, maisha ya kukopa ni maisha ya tamaa na ufukara, ni taabu tupu na fedheha
Kwa hiyo Mo Dewji alivyokopa Bilioni 300 benki za Afrika kusini alikuwa na mentality ya kimaskini? Kukopa sio tamaa wala ufukara ikiwa umekopa kufanyia biashara na ukafanya kweli biashara ikazalisha rejesho, riba na faida.
 
Kwenye huu uzi nilitarajia kupata mapunguani kadhaa. Hongera kwa kujitokeza kama punguani.
Hutanielewa kwasababu umekunywa maji ya bendera ya kijani.huwez ukatenganisha ccm na uovu unaofanyka kwenye taasisi za fedha.hzo mikopo za kausha damu nani anatoa vibali?unajua wamiliki ivo taasisi ni viongozi wenyewe wa serikali na ndyo wanaokinga na mkono wa dola?
 
Hutanielewa kwasababu umekunywa maji ya bendera ya kijani.huwez ukatenganisha ccm na uovu unaofanyka kwenye taasisi za fedha.hzo mikopo za kausha damu nani anatoa vibali?unajua wamiliki ivo taasisi ni viongozi wenyewe wa serikali na ndyo wanaokinga na mkono wa dola?
Wewe ni punguani
 
Back
Top Bottom