Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Nahisi namba 2 sipati wa kusaidiana bali napata wa kuniachia majukumu kabisa
Duh changamoto maana ukijifanya kihereher kutoa vipesa vyako mwanaume ndio anakuchapia hapo hapo kubali kulala Giza au kulala njaa ikiwa hajatoa pes akiona hivyo lazm ataanza kukusaidia majukum kama umezaa nae ucjibebesh kimbelmbel kuwapelk watt shule za gharam muache mume mwenyew asem uwezo wake hapo ndio utashaur ila usijibebeshe majukum ili upendwe zaid
 
Katika haya maisha mwanadamu anahitaji vitu vitatu vya muhimu sana ili aweze kufurahia maisha ambavyo ni
1. Something to hope
2.something to do
3.someone to love
Endapo ikitokea akakosa hata kimoja hakika maisha yake yatakua ya tabu sana kwahyo lazima mtu apate mapenzi kutoka kwa mtu anaempenda. Neno mapenzi hayakimbiliki popote pale duniani labda uwe hauna moyo
Atakaye kupinga huyo ni mchawi
 
Sahihi kabisa lugha za kimagharibi huwa zinatuzuzua hakuna kitu kinaitwa 'fall in love' au 'love at the first sight' hakuna kitu kama hicho ulimwenguni.
Kitu kilichopo ni 'growth of love' ambayo inachukua muda mpaka kukua na kupevuka hivyo hapa katikati ni jukumu la _me na _ke kumwagilia na kupalilia ili penzi lao listawi, ambapo kunakuwa na changamoto nyingi sana ila somo ni uvumilivu na uaminifu.
Kinyume nakuijua hiyo definition tutaishia kulalama ooh mapenzi hakuna siku hizi sio siku hizi hata zamani kulikuwa hakuna hayo mapenzi ya 'european version' ambayo mnayataka baada ya kupumbazwa na utandawazi, ukitaka kupata mpenzi wa kweli fuata sheria za asili ambazo wengi mnaziita za kizamani au zimepitwa na wakati ila nakuhakikishia ukizifuata na Mungu akakujalia kumpata mwenza anayezifahamu na kuzifuata mtazeeka wote pamoja, kinyume na hapo hakuna na hatakuwepo sio bar, shuleni, kazini, kanisani wala msikitini.
#Back_to_my_roots
Umeongea ukwel tupu
 
Wengi hawaish kiuharisia tunaiga mapenz tunatak tufananishe nawatu tunao waona uvumiliv haupo hasa kwa vijan ambao jobless
Actually people znataka mapenzi ya telenovelas kwamba love at first site tunasalimiana leo na kuambia tunapendana kesho tunakua kwenye penzi zito
 
Unashauri nn
Kwa sasa mambo yamebadilika sana, kumpata mtu mwenye connection ya uhakika na wewe ni mtihani.

Cha msingi ni kuwa na subira, mtu wa aina yako utampata tu kuliko ku rush true love ukaishia kupigwa kitu kizito.

Huu ndiyo ushauri ninaoutumia pia kwenye maisha yangu na umesaidia kwa kiasi kikubwa.
 
Eti wapendwa?

Maana kiukweli bila kupepesa macho upendo wa kweli wa muda mrefu hakuna yaan umekwisha...yaan asilimia kubwa upendo wa kweli umebaki wa siku moja tu siku ya mgegedo yaan baada ya hapo ndo bas tenaa.

Tufanye nn kulenga mulemule yaan kupata msahihi kwako ili at least mdumu hata kwa wiki tatu angalau(ha ha haa,aisee)
Yaani mtu kakuchimba weeee siku moja tu na kusepa.?? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tatizo wanawake mna jeuri mno acha mtafunwe 🤣🤣🤣🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻
 
Lakin mrembo twende mbele tuludi nyuma me nimekuelewa vp kama tukianza safari mpya ya mapenz nakuhaid utapata vyote unavyovikosa na hata vingine ambavyo huvijui utavipata.... Umri sio tatizo me nipo 22yrs kama vip njoo Pm
 
Yaani mtu kakuchimba weeee siku moja tu na kusepa.?? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tatizo wanawake mna jeuri mno acha mtafunwe 🤣🤣🤣🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻
Ha ha haa,ni hataree
 
Kwa sasa mambo yamebadilika sana, kumpata mtu mwenye connection ya uhakika na wewe ni mtihani.

Cha msingi ni kuwa na subira, mtu wa aina yako utampata tu kuliko ku rush true love ukaishia kupigwa kitu kizito.

Huu ndiyo ushauri ninaoutumia pia kwenye maisha yangu na umesaidia kwa kiasi kikubwa.
Sure yaan
 
Back
Top Bottom