Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,934
- 13,950
Wenye mapenz ya kweli tupo ila shida mnatuambiaga "you're not my type" sasa zikija hizo type zenu mnaanza tena manung'unikoEti wapendwa?
Maana kiukweli bila kupepesa macho upendo wa kweli wa muda mrefu hakuna yaan umekwisha...yaan asilimia kubwa upendo wa kweli umebaki wa siku moja tu siku ya mgegedo yaan baada ya hapo ndo bas tenaa.Tufanye nn kulenga mulemule yaan kupata msahihi kwako ili at least mdumu hata kwa wiki tatu angalau(ha ha haa,aisee)