Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Eti wapendwa?

Maana kiukweli bila kupepesa macho upendo wa kweli wa muda mrefu hakuna yaan umekwisha...yaan asilimia kubwa upendo wa kweli umebaki wa siku moja tu siku ya mgegedo yaan baada ya hapo ndo bas tenaa.Tufanye nn kulenga mulemule yaan kupata msahihi kwako ili at least mdumu hata kwa wiki tatu angalau(ha ha haa,aisee)
[emoji16][emoji16][emoji16]Usipo badilika dunia itakubadilisha au itakuacha nje ya mfumo wake kitu ambacho ni hatari kwa maana utakuwa upo upo tu, Cha msingi wwe fuata mfumo wa dunia ya Sasa unavyotaka, usiwe expert wa Mapenzi Bali kuwa expert wa ngono tu inatosha , Utajiepusha na maumivu ya moyo pamoja na fedheha [emoji457]
 
Kuna ujumbe wako hapa [emoji116][emoji116]
Screenshot_20220302-091645.jpg
 
Jana nilikuwa na kazi kumpa ushauri jamaa yangu mmoja mtu wa system. Ana kila kitu cha kidunia ambacho wanawake wengi wanapenda ( mali)
Lakini kapigwa na kitu kizito kichwani ,analia kama mtoto mdogo.
Mapenzi ni mtihani mgumu nowdays..
[emoji16][emoji16][emoji16] hayana formula Hayo , ubaya wa maisha jjnsi ulivyo Binaadamu kabla hatujawa na kitu Fulani kizuri huwa tuna kibabaikia Ila tulisha kupata tuna kizoea na kukichukulia poa ,

Hiyo ipo Sana mpaka ktk mahusiano, sometimes unaweza tokea uka date na mtu Ambaye unaona type take sio level yako Yeah na nikweli sio level yako hata yeye anajiona hivyo,

Ila baada ya kudumu nae muda mrefu nae ana kuzoea anajiona kuwa mpo ktk level 1 ghafla anaanza dharau then ana kupiga tukio moja zito takatifu, unajua ni kwanini kwa sababu Hapo kabla akikuona ni babkubwa lakini baada ya wewe kuwa nae unatokea ana kuzoea anakuona wakawaida tu, solution hapo nikuachana nae huwenda akatambua kuwa alikuwa ana jiongopea wewe sio level yake,,

Mapenzi ni garbage
 
Uko poa lkn mama?

Mshauri to yeye awe km maji.."it take the shape of the container" Anapenda kutokana na mwanaume alivyo,mdundo ukibadilika nae anabadilika, jamaa akilala mbele nae analala mbele
Naam hii strategy ndio dunia ya Sasa unavyotaka [emoji16][emoji16]
 
Eti wapendwa?

Maana kiukweli bila kupepesa macho upendo wa kweli wa muda mrefu hakuna yaan umekwisha...yaan asilimia kubwa upendo wa kweli umebaki wa siku moja tu siku ya mgegedo yaan baada ya hapo ndo bas tenaa.Tufanye nn kulenga mulemule yaan kupata msahihi kwako ili at least mdumu hata kwa wiki tatu angalau(ha ha haa,aisee)
Ilikuweza kudumu na mmoja na kufanya msichokane ni njia moja tu.

1 Kuaminiana

2 Kutenga mda wa kutembea kila siku mkiwa wamoja

3 Muwe marafiki(ondoa mfumo wowote wa kuhodhi au kuhodhiwa)

4 Mshirikiane katika bajeti

5 Mpange siku ya kutembelea ndugu kama mnaishi nao jirani(hii itakomaza sana uhusiano wenu)

6 Punguzeni bajeti ya matumizi

7 Pangeni siku ya kufanya usafi wa mazingira kwa pamoja

8 Mkaoge maji pamoja

9 Muwe na tabia ya kukaa na majirani zenu au hata nje ya nyumba ili muonekane

10 Kuweni mashabiki au wapenzi wa mchezo fulani(hii itajenga ukaribu wa kuongea kwa utani)

11 Muwe mnachati kwa sms WhatsApp na kwingineko. Sio mda wote voice tu

Kila la heri na ukipata ahueni kupitia ushauri wangu usisahau kunitumia buku la airtel money 0788686616 jina Adija Mwanamboka
 
Ilikuweza kudumu na mmoja na kufanya msichokane ni njia moja tu.
1 Kuaminiana
2 Kutenga mda wa kutembea kila siku mkiwa wamoja
3 Muwe marafiki(ondoa mfumo wowote wa kuhodhi au kuhodhiwa)
4 Mshirikiane katika bajeti
5 Mpange siku ya kutembelea ndugu kama mnaishi nao jirani(hii itakomaza sana uhusiano wenu)
6 Punguzeni bajeti ya matumizi
7 Pangeni siku ya kufanya usafi wa mazingira kwa pamoja
8 Mkaoge maji pamoja
9 Muwe na tabia ya kukaa na majirani zenu au hata nje ya nyumba ili muonekane
10 Kuweni mashabiki au wapenzi wa mchezo fulani(hii itajenga ukaribu wa kuongea kwa utani)
11 Muwe mnachati kwa sms WhatsApp na kwingineko. Sio mda wote voice tu
Kila la heri na ukipata ahueni kupitia ushauri wangu usisahau kunitumia buku la airtel money 0788686616 jina Adija Mwanamboka
hivi tu unataka na mwamala mkuu serious?
 
Tatzo binadamu wa sasa hawana ubinadamu na huruma hawana.

Hutakiw kumdanganya mtoto wa mtu kuwa unampenda na baada ya muda mfupi unaanza kumzingua

Hata zamani watu walikuwa wanachokana lakin walikuwa na utu na huruma,walijitahidi kuvumilia ili wasiwaumize wenzao.
 
Back
Top Bottom