Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Tufanye nini sasa juu ya haya mapenzi?

Ukiwa namtu asiyejiamn utateseka sana sabb utakuwa mtumwa kila muda kujishusha na kunyenyekea mwisho wasiku upate magonjwa mengi na uzeek mapema
Barikiwa sana
 
Katika haya maisha mwanadamu anahitaji vitu vitatu vya muhimu sana ili aweze kufurahia maisha ambavyo ni
1. Something to hope
2.something to do
3.someone to love
Endapo ikitokea akakosa hata kimoja hakika maisha yake yatakua ya tabu sana kwahyo lazima mtu apate mapenzi kutoka kwa mtu anaempenda. Neno mapenzi hayakimbiliki popote pale duniani labda uwe hauna moyo
Umeandika ukweli saana
 
Duh changamoto maana ukijifanya kihereher kutoa vipesa vyako mwanaume ndio anakuchapia hapo hapo kubali kulala Giza au kulala njaa ikiwa hajatoa pes akiona hivyo lazm ataanza kukusaidia majukum kama umezaa nae ucjibebesh kimbelmbel kuwapelk watt shule za gharam muache mume mwenyew asem uwezo wake hapo ndio utashaur ila usijibebeshe majukum ili upendwe zaid
Asante sana
 
Wee kula ushibe, simu yako iwe na chaji full na bundle la mwezi, bas maisha ushatoboa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akihitaji mkuyenge ..? Maana ni hutaji la kila mwanadamu alie kamili kuwa na mwenza. Atulie atapata mtu sahihi
Wee kula ushibe, simu yako iwe na chaji full na bundle la mwezi, bas maisha ushatoboa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa sasa mambo yamebadilika sana, kumpata mtu mwenye connection ya uhakika na wewe ni mtihani.

Cha msingi ni kuwa na subira, mtu wa aina yako utampata tu kuliko ku rush true love ukaishia kupigwa kitu kizito.

Huu ndiyo ushauri ninaoutumia pia kwenye maisha yangu na umesaidia kwa kiasi kikubwa.
Nikwel nimuhim uish kulingan na wakati uliopo uangalie vipaumbele muhim kweny maisha yako focus kuvipata
 
Actually people znataka mapenzi ya telenovelas kwamba love at first site tunasalimiana leo na kuambia tunapendana kesho tunakua kwenye penzi zito
Hapo ndio tunapofeli hatuish kiuhalisia nawengi huficha mapungufu yao kwa act tabia zawengin binafc sipend fake life nibora anaekuja kwaajili ya kunipenda atambue vitu vitatu.
1. Mm nibinadam hivyo asinifananishe na malaika au mpenz wake alieachan nae.
2. Aheshimu maisha yangu iwe namtoto au sina aheshimu na jamii ambayo nashirikian nao.
3. Kama nimfanyakaz aheshim kaz yangu, wateja na watu ninaowasaidia. Pia tushauriane panapohitaj msaada wa kimawazo
 
Back
Top Bottom