holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,792
- 9,202
Asiye nacho hua anapenda kwa machale sana ni wa kuwa nae makiniKwa mimi yaliyenikuta ya kupenda asiyenacho I swear siwez...ni Mara mia kikauke tu kwa ukame
Asiye nacho hua anapenda kwa machale sana ni wa kuwa nae makiniKwa mimi yaliyenikuta ya kupenda asiyenacho I swear siwez...ni Mara mia kikauke tu kwa ukame
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subila yavuta heli,Mungu akujalie umpate akupendae .funge ndoa kabisa awe wa maishaKwa mimi yaliyenikuta ya kupenda asiyenacho I swear siwez...ni Mara mia kikauke tu kwa ukame
pole sana njoo kwa ambao tuna kitu 😁Yalinikuta mkuu,wakipata hubadilika mkuu
Mwambie kuna mwenzie wa kike anasaga meno hukuJana nilikuwa na kazi kumpa ushauri jamaa yangu mmoja mtu wa system. Ana kila kitu cha kidunia ambacho wanawake wengi wanapenda ( mali)
Lakini kapigwa na kitu lizito kichwani ,analia kama mtoto mdogo.
Mapenzi ni mtihani mgumu nowdays..
Sawa[emoji28][emoji28][emoji2297][emoji2297]Mwambie kuna mwenzie wa kike anasaga meno huku
Nahisi namba 2 sipati wa kusaidiana bali napata wa kuniachia majukumu kabisa1.Wewe mwenyewe unajipenda vya kutosha kutoka kwenye uvungu kabisa wa moyo wako?
2.Wenye hekima wanasemaga "both partners have to fill their cups for a healthy relationship" kwa maana ya kwamba unatakiwa kuhakikisha umeimarika hasa kiuchumi na kihisia ukiwa mpweke(single) kuepuka utegemezi uliokithiri kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano serious.
3.Af pia isije ikawa unataka mwenza mwenye sifa zinzotaka kufanana na za malaika, lazima ukumbuke kwamba wanaokuzunguka ni binadamu wasiokosa kasoro.
Nb:Sijamaanisha kwamba watu wasigegedane endapo hawajakamilisha namba 2 🤪
msipende sana ndo dawaNdo mnatupiga na kitu kizito...mkishamwaga mnaangalia mwingine yuko wapi....ndo maana nimeuliza tufanye nn maana kote majanga
Kama umekamilisha namba mbili hakikisha unatafuta ambae na yeye amekamilisha japo kwa asilimia 80.Nahisi namba 2 sipati wa kusaidiana bali napata wa kuniachia majukumu kabisa