Expert911
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 695
- 1,239
Kaka muokoe huyuBinadamu...
Kaka muokoe huyuBinadamu...
Kwenye lipi?Kaka muokoe huyu
Anateseka sana tumtafutie kasabato wale huwa hawacheatKwenye lipi?
Mpe muongozo, itapendeza sana...Anateseka sana tumtafutie kasabato wale huwa hawacheat
Ngoja ni swala la mda tuMpe muongozo, itapendeza sana...
Itapendeza sana...Ngoja ni swala la mda tu
Demu ambaye ni rahisi kutiwa na kila mwanaume lakini ndani ya nyumba sio mkorofiAkikupenda mama inatosha,
Achana na hiyo kitu inayoitwa mapenzi, fanya Mambo mengine, jipende wew mwenyewe na mapenz yawe sehem tu ya kusurvey ama kutalii na kupunguza ham[emoji23].
Ukichukulia sirius haya mambo utakufa siku si zako, siku zinavyozidi kwenda ndipo uaminifu unapungua, uhuni wa kila aina umetawala ktk mapenzi.
Unaweza mpata muaminifu, lkn ana tabia za hovyo zisizovumilika, pia unaweza mpata mtiifu na mpole kumbe chini ya carpet ni silent killer, inshort we vumiliaga tu ulipo ndipo wengine wapo.
Sio ukorofi ni mbinu tu[emoji23]ukorofi wa bila kificho
Andika uzi mkuu unaweka mada nyingine kabisa hapaDemu ambaye ni rahisi kutiwa na kila mwanaume lakini ndani ya nyumba sio mkorofi
VS
Yule ambaye mgumu kutoa kitumbua nje lakini ndani mkorofi, yupi ana nafuu majameni ?
Nafanya hivyoAndika uzi mkuu unaweka mada nyingine kabisa hapa
Kabisaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha haaa,safi
Sio lazima, ila muhimu.Akihitaji mkuyenge ..? Maana ni hutaji la kila mwanadamu alie kamili kuwa na mwenza. Atulie atapata mtu sahihi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyoo ndiyooooHehe
Kitu muhimu kina ulazima pia
Bora ubaki ivoivo.....ukiingia tu tufyeka wote hicho ulichokipiganiaDawa ni kuachana nayo tu
Nna mwaka wa tano huu nimekaza.. sielewi yaani mimeamua kuachana nayo labda mda sahihi haujafika kwangu.. yaani nimeachana nayo ndio naanza kunenepa naanza kuona nna save pesa nyingi yaani napendeza yaani na maendeleo mengi ya kimaisha nayapata mpaka naogopa kurudi tena kwenye mahusiano... nisije! Nikarudi nikafulia yaani nna kawasi wasi filani hivi.. au sijaumbwa niwe katika mahusiano ya kimapenzi.. M/MUNGU nisimamie InshAAllah