Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Usiwape BabaDaaah, basi siwapi teeeena
Hakuna kazi wanayofanya ya maana, wanalipwa Kodi zetuMbona wao wanalipwa mishahara? Kwanini hawafanyi kazi bure?
Umebadili upepo, umejivua uzalendo unaohimiza kila siku sababu ya pesa.Daaah, basi siwapi teeeena
Hamna mvuto mmedoda
Mbona Rais ni mzalendo lakini analipwa mshahara? Au anafanya kazi bure yule?Umebadili upepo, umejivua uzalendo unaohimiza kila siku sababu ya pesa.
Kuwa mzalendo kwa Taifa wanaweza wakakuenzi hata kwa kuanzisha kifurushi Cha jina lako.
Yaani hawa ubunifu zero kabisa.Nimekuja mbio nikijua jambo la maana
Hapo sasaHongereni ila jambo lenyewe bayaa, sasa mkizindua/mkisaini sisi wateja wenu tunanufaikaje?
Wangesema jambo lao na NandyHongereni ila jambo lenyewe bayaa, sasa mkizindua/mkisaini sisi wateja wenu tunanufaikaje?
Kama hawafanyi kazi ya maana wasilipwe na wafukuzwe wote. There's no free lunch.Hakuna kazi wanayofanya ya maana, wanalipwa Kodi zetu
Siwapi mamy wangu. Unaendeleaje lakini?Usiwape Baba
Nipo salama pamoja na watoto Baba, likizo lini maana watoto wamekumiss sana hapaSiwapi mamy wangu. Unaendeleaje lakini?
Waambie wavumilie tu, baba nitakuja soonNipo salama pamoja na watoto Baba, likizo lini maana watoto wamekumiss sana hapa