Wilson Leguna
Senior Member
- Feb 22, 2017
- 104
- 92
Mm no yangu ni 0734279900...ilifungiwa na kibaya zaidi mkatoa instructions Airtel wafungie no yangu iliyopo kwao.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.
1. POSTA
Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.
2. KARIAKOO
Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.
3. UPANGA
Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.
4. MAGOMENI
Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.
5. KIJITONYAMA
Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.
6. OYSTERBAY
Barabara ya Haile Selassie.
7. UBUNGO
Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.
8. MBEZI BEACH
Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.
9. TABATA
Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.
10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.
11. BARABARA YA PUGU
Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.
12. WAGENI
Uwanja wa ndege.
13. PUGU
Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.
14. KISUTU
Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.
15. TEGETA SHOP
Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.
16. MWANANYAMALA SHOP
Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.
17. KURASINI
Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.
Wasiliana nasi:
022 210 0100
0738 151 511
www.ttcl.co.tz
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645
Karibu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
Wakaifungia kwa maelekezo yenu.
Mm nakaa Mbagala, mtandao wenu ikifika saa 12 jooni haupatikani hadi asubuhi saa 2, hivyo hua situmii sana line hiyo, hata ilipofungwa, sikujua.
Nilipoenda Airtel waifungue wakaniambi niende Extelecom building, nikawaona wahusika lkn wakakataa kutoa instructions Airtel, bt wakaniambia niwapelekee hiyo instructions, jana nimepata print out ya instructions toka Airtel,nikawaletea hapo Extelecoms. I expect by Monday itafunguliwa.
My complain ni nyie kutoa instructions kwa mtandao mwingine kufungia line yangu wakati mngewez kunipigia na kuniita ktk line ya TTCL...am very upset kwa both companies...kibaya zaidi mmeblock my NIDA ID, TCRA wamekataa kuiblock,wameniambia ni resolve with you.
Nilishaandika barua kujieleza Airtel how am using my line and it has never be on another hand who can conduct criminal events...
Am upset with your services and the business influence you have on other mobile phone subscribers...

022 210 0100
0738 151 511