Treni yasababisha ajali

Treni yasababisha ajali

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.

Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.

Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.

Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
 
Huo upumbavu wa kwenda kulichungulia treni kajifunza wapi?? Kanisani au kijiweni??
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.

Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.

Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.

Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
 
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.

Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.

Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.

Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!

.............. kuna watu ambao hawajawahi kusafiri na treni, pia kuna watu hata kule kuiona ni kwenye magazeti na tv.... na wapo watu ambao tangu wamekuja DSM wanaishia kwao Vingunguti hawajawahi kufika katikati ya jiji ...posta hawakujui...... sasa hapo kazi ipo.............

 
treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.

Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.

Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.

Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
mungu amlaze pema peponi na wengine waache kuchungulia
 
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.

Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.

Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.

Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
hivi hapa mjini bado tunashangaa gari moshi mpaka sasa?
 
alikuwa anaichungulia tren kadri ilivyokuwa inapita,sasa apo nani mwenye makosa!! kwanini aichungulie? watanzania tuache kushangaa ayo ni mambo ya kawaida,wakiendekeza kuchungulia tren wataondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom