gobore
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 715
- 352
anachunguli treni? Ilikuwa inaoga?
Mweeh! Hivi JF kuna watu kazi yao ni kufurahisha tu? Hata kwenye misiba jamamani?
anachunguli treni? Ilikuwa inaoga?
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
Alikuwa anataka kuona kama inaua, ni sahihi alichokifanya! Jaribio lake limefanikiwa ila majibu hawezi kuyapata, wewe sasa ndiyo unamajibu uwafahamishe na wenzio ulichokiona.
MJ inaelekea ww ni balaa kwa kupiga chaboanachunguli treni? Ilikuwa inaoga?
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
Treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
poleni.
hivi hapa mjini bado tunashangaa gari moshi mpaka sasa?
treni iliyoanza kazi jumatatu tayari imeua mtu mmoja.
Taarifa za kuaminika ni kwamba mtu huyo alikua karibu sana na reli na alikua anajaribu kuichungulia kadiri ilivokua inapita, aligongwa na behewa na kufariki papo hapo.
Source mimi mwenyewe, marehemu tulikua tunaabudu nae kanisa moja.
Wito:
Hizi treni zitasaidia sana lakini inabidi usalama ikiwa ni pamoja na elimu kwa uma viwekewe mkazo sana!
ni vizuri kuchukua tahadhari
lakini nadhani ajali yake ya kuondoka kwake dunian ilishaandikwa iwe ivo
mungu ampokee mja wake