TRC: Kichwa cha Treni ya SGR kimefika Bandarini, Majaribio ya safari ya Dar - Moro yataanza hivi karibuni

Utakuwa unaishi ubelgiji, kwa awamu hii ya sita shule zimeboreshwa sana na mpya zimejengwa hela za uvico-19 zimesimamiwa vizuri,

Kuhusu madawa tembelea maduka ya dawa uone wanavyolalamika biashara kuwa ngumu huduma za afya zimeimarika, tulizoea kuona magari ya polisi mapya sasa hivi ukiona gari jipya halmashauri ujue ni ambulance

Kuhusu reli, kuna majukumu ya kimkataba lazima yatekelezwe, na reli sio bembea kuwa unachomelea tu, lazima tujiridhishe ubora wake, hata unapojenga nyumba lazima ujirishishe kuwa msingi ni imara ndo uendelee na kujenga boma

kilikuja kichwa cha majaribio kimefanyakazi na sasa tunaleta kichwa halisi nacho kitaanza test works kwanza, nikusihi uwe na subira, mama samia hakurupuki, anatizama kila kazi kwa umakini
Mkuu hicho kichwa cha majaribio kimefanya majaribio wap?
 
Mkuu jizi sio ist kwamba utaakiza mtandaoni, tunanunua vipya na tunajiridhisha kabla havijafika, hii ni kati ya miradi inayotekelezwa kwa umakini mkubwa
Hizo ni porojo za siku zote
 
Nilitaka nimjibu hivyo, kimsing modern trains zinachukua muda, technology mpaka ije kutumika
Kunahitajila heavy industry, kama hata bajaji hatuweza unarukia train hahaha
Acha porojo mkuu, hayo yote hawakuyajua tangu 2016/2017, hizo ni poor planning na siasa nyingi, waambie waache porojo
 
Utakuwa unaishi ubelgiji, kwa awamu hii ya sita shule zimeboreshwa sana na mpya zimejengwa hela za uvico-19 zimesimamiwa vizuri,

Kuhusu madawa tembelea maduka ya dawa uone wanavyolalamika biashara kuwa ngumu huduma za afya zimeimarika, tulizoea kuona magari ya polisi mapya sasa hivi ukiona gari jipya halmashauri ujue ni ambulance

Kuhusu reli, kuna majukumu ya kimkataba lazima yatekelezwe, na reli sio bembea kuwa unachomelea tu, lazima tujiridhishe ubora wake, hata unapojenga nyumba lazima ujirishishe kuwa msingi ni imara ndo uendelee na kujenga boma

kilikuja kichwa cha majaribio kimefanyakazi na sasa tunaleta kichwa halisi nacho kitaanza test works kwanza, nikusihi uwe na subira, mama samia hakurupuki, anatizama kila kazi kwa umakini
Wewe unaota kabisa mchana kweupe, yawezekana wewe ndiye uko Ubelgiji
 
Mwambieni mama naye awahi kuokota vichwa bandarini.
Au yeye hapendi maigizo? 😀😀😀
 
Umeme utakaotumika ni wa sola ama,kwa maana nchi sasaivi ipo kwenye mgao wa umeme hadi kiongozi wa nchi anajua
 
inapendeza kwa kweli...uzuri ccm huleta maendeleo kwa watanzania wote bila kujali huyu ni chadema au laa
 
Acha porojo mkuu, hayo yote hawakuyajua tangu 2016/2017, hizo ni poor planning na siasa nyingi, waambie waache porojo

Mm ndio napiga porojo au wao? All this poor planning na siasa nyingi zimetokana kuweka siasa kwenye kila kitu
 
inapendeza kwa kweli...uzuri ccm huleta maendeleo kwa watanzania wote bila kujali huyu ni chadema au laa
Nimefanya kazi YAPI MERKEZI kuna sehemu wamelipua kazi kwanzia KIGWE mpaka MAKUTUPORA ni uchafu mtupu CCM mnajifanya hamuoni...hio TRAIN lazima itaua ua sana mwanzoni..!
 
Nilitaka nimjibu hivyo, kimsing modern trains zinachukua muda, technology mpaka ije kutumika
Kunahitajila heavy industry, kama hata bajaji hatuweza unarukia train hahaha
Lakini majaribio Dar - Moro yalifanyika mwezi wa nne mwaka 2020! Nini kilitokea tena.
 
Ila watu husema wasiyoyajua. Juzi niliona uzi twitter ukitoa sababu za tren kuhujumiwa. I laughed hard. Ni kwasababu hakujua kama kichwa cha treni ndo sababu ya kuchelewa na kilikuwepo bandarini tayari ila kuclear ndo ilikua bado. Sameways na watu walipokua wakinanga escape from sobibo. Tatizo hatuwezi kutoa taarifa zingine maana sisi siyo source rasmi ya kutoa taarifa. Mengine huwa tupapeana sana matango pori. Na bado vipo vingi vyaja vipo kwenye matengenezo mpaka sasa. Msigwa alipotuma vile vichwa vya kisasa kila mtu akaweka silaha chini. Its a process.
 
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema majaribio ya kuanza kuitumia njia ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaama kwenda Morogoro inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuwa kichwa cha treni kimeshafika kipo bandarini.

Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.

“Hivyo, ifahamike kuwa kichwa bado kipo Bandarini na kikishuka, wakijipanga vizuri na Mainjinia wetu waliopelekwa mafunzoni wakionesha hiki ni nini kazi itaanza.

“Changamoto ilikuwa ni kichwa, Wananchi wlaikuwa na shauku ya kuona majaribio yakianza lakini hilo limekamilika, kichwa kipo kimoja na vingine vitafuata.”


Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
Ukitaka kujua wanawaona waTanzania kama mazezeta fuatilia kuanzia huku... Hawakuwai kusema kokote kuwa vile vichwa ni vya diesel vinavoweza kutumia umeme pia!
 
Ila watu husema wasiyoyajua. Juzi niliona uzi twitter ukitoa sababu za tren kuhujumiwa. I laughed hard. Ni kwasababu hakujua kama kichwa cha treni ndo sababu ya kuchelewa na kilikuwepo bandarini tayari ila kuclear ndo ilikua bado. Sameways na watu walipokua wakinanga escape from sobibo. Tatizo hatuwezi kutoa taarifa zingine maana sisi siyo source rasmi ya kutoa taarifa. Mengine huwa tupapeana sana matango pori. Na bado vipo vingi vyaja vipo kwenye matengenezo mpaka sasa. Msigwa alipotuma vile vichwa vya kisasa kila mtu akaweka silaha chini. Its a process.
Haya vimekuja sasa... Ndivyo ulivyovitarajia? Je, vinatumia diesel ama havitumii? Je, maximum speed ni ngapi? Kwenye majaribio walifikia ngapi?

Msione watu ni mapunguani!
 
Back
Top Bottom