Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,091
Ila Uhuru wa nchi ulikuwa unapotezwa na Trafiki, Arusha wameishi kwa mateso makali sana,
Unajiona una akili mwenyeweWakati mwingine unazitafakari akili za raia wa Tanzania katikati ya tafakuri yako ndio inakujia picha kwanini CCM bado ipo madarakani........kwa lugha nyepesi watanzania tuna uwezo mdogo sana wa kutafakari kwa kina na kuchanganua mambo.......ni kama mtoto mdogo anayepokonywa noti ya elfu kumi na kupoozwa na pipi ya mia akifurahia.....



Tanga mpk korogwe Kuna trafiki jam kama 10 hiviNa kuna mmoja pale Bunju anaitwa Kichuya....
Jamaa anaokota hela utadhani sadaka....
Ajali zitaongezeka huko katikati ya mji wanakojazana? Wale waligeuzwa mashine za kukusanya pesakumbuka ajali zitaongezeka sana maana walikuwa kwa kiasi fulani wanasaidia kuwadhibiti madereva washenzi
CCM utakufa utaiacha Madarakani jifunze kuipenda tuWakati mwingine unazitafakari akili za raia wa Tanzania katikati ya tafakuri yako ndio inakujia picha kwanini CCM bado ipo madarakani........kwa lugha nyepesi watanzania tuna uwezo mdogo sana wa kutafakari kwa kina na kuchanganua mambo.......ni kama mtoto mdogo anayepokonywa noti ya elfu kumi na kupoozwa na pipi ya mia akifurahia.....
Mawazo ya Wazee frastrated ndio yawe Katiba? Katiba pendekezwa ilipitishwa na Bunge la Katiba na ipo"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
kumbuka ajali zitaongezeka sana maana walikuwa kwa kiasi fulani wanasaidia kuwadhibiti madereva washenzi
Pale Mkata wanakaa kama mia mbili hivi...Tanga mpk korogwe Kuna trafiki jam kama 10 hivi mama.e
Lowasa alikuwa na wadhifa gani?Speed gavana ilikuwa ni dili la lowasa kutakatisha kodi zetu
Erythrocyte na wewe unaingia kwenye huo mtego wa cheap popularity? Haya ni mambo ya siasa za msimu.Tuliweka uzi humu kuhusu Polisi wa barabara kupunguzwa , huku wengi wao wakipangiwa kulinda Mabenki Usiku , lakini kwa bahati mbaya Moderator akaunga uzi ule kwa mafundo mengi utadhani HIRIZI WANAZOTAPIKA WAUMINI WA MWAMPOSA .
Lakini leo Gazeti la Raia Mwema limeripoti kwamba tayari panga limekwisha tembea , huku MCHEZO WA UPATU waliokuwa wanacheza Trafiki hao kila siku ukibaki njia panda , kwa vile wengi wamepangiwa kazi zingine ambazo haziingizi chochote zaidi ya Mshahara , TAARIFA ZINADOKEZA KWAMBA TRAFIKI WENGINE WALIKUWA NA MCHEZO WA UPATU WA KULIPA HADI SH LAKI MOJA KWA SIKU , ambapo inaelezwa kwamba chanzo cha hela hizo ilikuwa ni Rushwa za barabarani .
Kwa mujibu wa gazeti hilo , Trafiki wengi wanamlaumu Kinana kwa kuibua jambo hilo .
Endelea kubaki JF kwa taarifa zaidi .

Tusuburi ajali za barabarani ziongezeke
Siwapendi polisi kwa ula rushwa wao nausumbufu mwingi wanaoufanya barabarani, ila kitendo cha kuwaondoa sikubaliani nacho aslan.
Uzoefu unaonesha Watanzania kama punda, bila mkono wa chuma/mijeledi hawafuati sheria.
Hivyo kuwaondoa polisi itakuwa janga kwa watumia barabara.
Kuna njia nyingine za kusafisha hilo jeshi na sio kuwaondoa njiani.
Na MUNGU ataepusha vilevileTusuburi ajali za barabarani ziongezeke
Traffic Walizidi ujingabwalikiwa waonevu wakubwa.Tuliweka uzi humu kuhusu Polisi wa barabara kupunguzwa , huku wengi wao wakipangiwa kulinda Mabenki Usiku , lakini kwa bahati mbaya Moderator akaunga uzi ule kwa mafundo mengi utadhani HIRIZI WANAZOTAPIKA WAUMINI WA MWAMPOSA .
Lakini leo Gazeti la Raia Mwema limeripoti kwamba tayari panga limekwisha tembea , huku MCHEZO WA UPATU waliokuwa wanacheza Trafiki hao kila siku ukibaki njia panda , kwa vile wengi wamepangiwa kazi zingine ambazo haziingizi chochote zaidi ya Mshahara , TAARIFA ZINADOKEZA KWAMBA TRAFIKI WENGINE WALIKUWA NA MCHEZO WA UPATU WA KULIPA HADI SH LAKI MOJA KWA SIKU , ambapo inaelezwa kwamba chanzo cha hela hizo ilikuwa ni Rushwa za barabarani .
Kwa mujibu wa gazeti hilo , Trafiki wengi wanamlaumu Kinana kwa kuibua jambo hilo .
Endelea kubaki JF kwa taarifa zaidi .
zilikuwa zinasababishwa na uchache wa trafic?Tusuburi ajali za barabarani ziongezeke
Mimi hapa nilisingiziwa mara kadhaaKuna yeyote humu amewahi kukamatwa na trafiki na akalipishwa faini biki kosa lolote? Be honest; yaliyo moyoni
Hata ukitafakari huna cha kuwafanya bora utulie tuWakati mwingine unazitafakari akili za raia wa Tanzania katikati ya tafakuri yako ndio inakujia picha kwanini CCM bado ipo madarakani........kwa lugha nyepesi watanzania tuna uwezo mdogo sana wa kutafakari kwa kina na kuchanganua mambo.......ni kama mtoto mdogo anayepokonywa noti ya elfu kumi na kupoozwa na pipi ya mia akifurahia.....